Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Kuna haja ofisi ya CAG kuwa na wajibu
Ukioadoa wale wabunge wa mijini na Dar Hivi katika siku 365 za mwaka kuna mbunge hata mmoja amabye anatumia japo siku 60 kuwa kwenye wilaya ya jimbo lake?
- kuwa na register kujua wabunge walizitumia ofisi zao wilayani na mkoni kwa siku ngapi katika mwaka
Ukioadoa wale wabunge wa mijini na Dar Hivi katika siku 365 za mwaka kuna mbunge hata mmoja amabye anatumia japo siku 60 kuwa kwenye wilaya ya jimbo lake?