CAG agundua ufisadi wa Tsh milioni 364 Halmashauri ya Bahi ambayo mke wa Spika Ndugai ni DED

swahiba mmefuta ngapi kwa wachina?

Swahiba tuombe kwanza kuutambua mkataba aliopotoshwa JPM, kisha tuutambue mkataba tunaosisitiza kwa nguvu zote na tabasamu kubwa kwamba ni mzuri

Maendeleo hayana vyama
Tanzania kwanza 🇹🇿🙏
 
Achukuliwe hatua kama mwizi mwingine yoyote na asiachwe hata kama mr ni mtu anaejua kujipendekeza!
Tuone pia ukaguzi wa CAG kuhusu bunge kuwalipa wale COVID 19 fedha wasizostahili.
 
CAG hana huruma na mzaha kabisa.
Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.

CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.

Someni vizuri ripoti,kuna madudu sana
Ndungai hajawahi kuwa mzalendo wa nchi hii ni opportunist
 
Sitaki kuamini kwamba kila pesa inayokosekana na CAG imefisadiwa.

Maana sasa kila kona utasikia pesa zimeliwa....nadhani zipo zinazokosekana kwa uzembe wa kutunza hesabu.
 
Back
Top Bottom