CAG agundua ufisadi wa Tsh milioni 364 Halmashauri ya Bahi ambayo mke wa Spika Ndugai ni DED

CAG hana huruma na mzaha kabisa.

Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.

CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.

Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana
Ndugai anahusika na ufisadi huu kwa namna yake.
 
CAG hana huruma na mzaha kabisa.

Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.

CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.

Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana
like father like son, mme fisadi , mzushi , mkabila na mchuki the same mke naye ameridhi, watu warefu wana shida sana.
 
CAG hana huruma na mzaha kabisa.

Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.

CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.

Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana
Msiwe mnaongelea vihela vidogo kama hivi, kuna 1.5t yaani Billion 1500 sawa na millioni millioni moja na laki tano ilipigwa ufafanuzi ukatolewa na "Super Mathematician " Humphrey mwana wa Slow. Ukaongeza moja unakwenda na moja kichwani, unakopa 0.
 
CAG hana huruma na mzaha kabisa.

Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.

CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.

Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana
Watazitapika tu
 
CAG hana huruma na mzaha kabisa.

Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.

CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.

Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana
Kuna madudu zaidi ya hapo
 
1618408123019.jpeg

CAG hana huruma na mzaha kabisa.


Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.

CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.

Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana
 
CAG hana huruma na mzaha kabisa.

Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.

CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.

Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana
Hapo ndipo tujiulize "usafi wa mwenza wake" uko wapi!? Usikute alimwambia "we piga tu ntakulinda!!" Hii nchi imechezewa sana... na walidhani mwendazake ataishi milele wajifiche kwenye kivuli cha kumsifu huku wakitekeleza nia zao ovu...
 
Familia ya majizi. Dhalimu magufuli alimpatia Ndugai $12 million eti pesa za matibabu kule India sawa na 28 billions za Kitanzania.
CAG hana huruma na mzaha kabisa.

Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.

CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.

Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana
 
CAG hana huruma na mzaha kabisa.

Nimeona ametoa hati ya mashaka Wilaya ya Bahi. Mkurugenzi wa Wilaya ni mke wa Ndugai.

CAG ameweka wazi ufisadi wa sh.364,107,100 mapato ya ushuru yaliyotafunwa bila kupelekwa benki.

Someni vizuri ripoti, kuna madudu sana

E0NhMwdXIAAW0HL.jpeg
 
Back
Top Bottom