Kwani azimio la bunge limefutwa? Kilangila.Huo Mgogoro umeanza kupoa acheni kuchochea mtafaruku huo
Hasara gani, ile ya Trillion 1.5 au 2.4? Kilangila.Taifa limepata hasara kwa kuwa na kiumbe kama wewe.
Hiyo inaitwa “kamata chini, kamatia chini”
Hajiuzulu mtu hapa
Asante Prof. Asad, aibu yake bwana yule anaetumika kama kinga ya maradhi mtambuka bila kusumbua ubongo wake.
Hamna CAG kujiuzulu, anayejishuku ajiuzulu yeye
NakaziaHamna CAG kujiuzulu, anayejishuku ajiuzulu yeye