Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), leo April 6, 2020 kupitia ukurasa wake wa Instagram @Caf_Online, limepost kumbukumbu ya Comeback kubwa zaidi kuwahi kutokea katika Ligi ya Mabingwa Barani Afrika.
Maajabu hayo ya kipekee ya 'Comeback' kubwa zaidi kuwahi kutokea ya kupindua matokeo kwa idadi ya mabao mengi katika historia ya ligi hiyo, yalifanywa na Mabingwa wa Nchi, Mnyama Simba Sports Club, Wekundu wa Msimbazi.
Simba SC, walianza kwa kupoteza mchezo huo baada ya kuchapwa mabao 4-0 nyumbani dhidi ya Mufulira Wanderers FC ya Zambia kabla ya kwenda kushinda mabao 5-0 ugenini katika mechi ya mkondo wa pili wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika mnamo mwaka 1979.
Kuna anayeweza kwa sasa hii?
Maajabu hayo ya kipekee ya 'Comeback' kubwa zaidi kuwahi kutokea ya kupindua matokeo kwa idadi ya mabao mengi katika historia ya ligi hiyo, yalifanywa na Mabingwa wa Nchi, Mnyama Simba Sports Club, Wekundu wa Msimbazi.
Simba SC, walianza kwa kupoteza mchezo huo baada ya kuchapwa mabao 4-0 nyumbani dhidi ya Mufulira Wanderers FC ya Zambia kabla ya kwenda kushinda mabao 5-0 ugenini katika mechi ya mkondo wa pili wa raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika mnamo mwaka 1979.
Kuna anayeweza kwa sasa hii?