Itakuwa uliwaza siasa weweNimekuja speed nilielewa tofauti ..
Itakuwa uliwaza siasa weweNimekuja speed nilielewa tofauti ..
Kumekucha zamani wewe sijui ulikuwa wapi mpaka jamaa wame cover nafasi yako,kiwango chako kinaanza kushuka JovKumekucha tena
cc. Shein!!Shirikisho la Soka Barani Afrika(CAF) leo limeifutia uanachama wa Zanzibar ikiwa ni miezi 4 baada ya kupewa uanachama huo.
Rais wa CAF amesema kuwa wamechukua uamuzi huo kwakuwa hawawezi kuruhusu kuwa na vyama viwili kutoka nchi moja(Yaani TFF na ZFA).
DuhNi sahihi kabisa kuifutia,, maana Zanzibar siyo nchi.
Ilikua inaniuma kuwapa uanachama wakati hawana sifa.
Nilitaka nianze haraakati za kusajili chama kipya cha soka MBEYA (MBEYA FOOTBALL ASSOCIATION) MFA, Sasa basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Huenda ile ilikuwa siasa za uchaguzi ili Issa Hayatou aendelee kupeta.Wakati wanawapa uanachama waliambiwa kuwa Zanzibar ni nchi au sehemu ya Tanzania? Walitumia vigezo vipi kukubali maombi ya ZFA?
Ubabaishaji everywhere
wale watakubali wakati siku hizi bala mambo kibabe na kauli toka juuKwa hatua hiyo sasa kuna haja TFF kuwa na sura ya Muungano
WAAFRIC tunamatatizo sn tena sn ndio maam watu weupe wanatudharua hadi mwisho..
Mbona UNITED KINGDOM wanakubaliwa UEFA na FIFA
NCHI MOJA innayotoa timu zaidi ya MOJA kwenye kuiwakilisha kama NCHI
Zimwi likujualo......
ahahahahaKumekucha zamani wewe sijui ulikuwa wapi mpaka jamaa wame cover nafasi yako,kiwango chako kinaanza kushuka Jov