CAF kuanzisha uchunguzi kuhusu VAR kuzimwa mechi ya Simba vs Orlando Pirates

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
21,834
38,717
Shirikisho la Soka Africa, CAF,linaanzisha uchunguzu juu ya tuhuma za kuzimwa VAR kwenye match ya Simba vs Orlando Pirates iliyochezwa 17 April 2022. Match hiyo ilimalizika kwa Simba kushinda goal 1 kwa bila.

Kuzimwa kwa VAR katika robo fainali ya kwanza kati ya Simba dhidi ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini Aprili 17, 2022 ambapo Simba ilishinda moja bila kwa penati ilisababisha utata mkubwa.

Kocha wa Orando Pirates, Mandla Ncikazi alizungumza mapungufu na makosa yaliyojitokeza kwenye mechi hiyo na kutaja kitu kilicho mkasirisha ni kitendo cha mwamuzi wa mchezo huo kukataa kwenda kuangalia VRA ili athibitishe kama ni penati au sio paneti na kusema kuwa VAR waliizima.

Kutokana na tukio ilo wadau wengi wa soka walilitaka Shirikisho la Soka la Afrika(CAF) kufanya uchunguzi wa tukio la kuzimwa kwa VAR lakini CAF hawakutoa tamko lolote la kufanya uchunguzi wa tukio hilo na hakuna taarifa yoyote waliotoa CAF kuhusu tukio la kuzimwa VAR.
 
Shirikisho la Soka Africa, CAF,linaanzisha uchunguzu juu ya tuhuma za kuzimwa VAR kwenye match ya Simba vs Orlando Pirates iliyochezwa 17 April 2022. Match hiyo ilimalizika kwa Simba kushinda goal 1 kwa bila.
Kafungwa Orlando machungu na chuki yapo jangwani hvi kuna kesi iliyoanzishwa na utopolo wakashinda naona wamepeleka malalamiko CAF halafu wanaisingizia Orlando.
 
There is a "potential stratagem" involving Simba Sports Club officials and Caf appointed officials who come to handle the Caf matches being hosted by Simba.

It's highly likely that the outcomes of the most matches involving the Tanzanian side on their home ground have been influenced by the Caf appointed officials, ostensibly, to favour the hosts. Someday time will prove me right 👍
 
Shirikisho la Soka Africa, CAF,linaanzisha uchunguzu juu ya tuhuma za kuzimwa VAR kwenye match ya Simba vs Orlando Pirates iliyochezwa 17 April 2022. Match hiyo ilimalizika kwa Simba kushinda goal 1 kwa bila.
Huu wivu wenu wa kike utawaua
 
There is a "potential stratagem" involving Simba Sports Club officials and Caf appointed officials who come to handle the Caf matches being hosted by Simba.

It's highly likely that the outcomes of the most matches involving the Tanzanian side on their home ground have been influenced by the Caf appointed officials, ostensibly, to favour the hosts. Someday time will prove me right
Taja vitendo husika hizi lawama za ajabu tupa kapuni
Ukiulizwa lini simba ilihujumu unaweza kutaja?
 
There is a "potential stratagem" involving Simba Sports Club officials and Caf appointed officials who come to handle the Caf matches being hosted by Simba.

It's highly likely that the outcomes of the most matches involving the Tanzanian side on their home ground have been influenced by the Caf appointed officials, ostensibly, to favour the hosts. Someday time will prove me right

Tatizo la mpira wa Tanzania ni kuwa na mashabiki wa team 2 Tu, hapo ndio shida ilipo na haitokuja kuisha kamwe, akishinda Simba walalamikaji ni mashabiki wa Yanga, kuanzia wachambuzi,waandidhi na watangazaji

Laiti kama Tanzania ingekuwa na utamaduni wa kuwa na mashabiki wa team tofauti tofauti ingekuwa rahisi sana kuzuia Mambo kama haya maana ataongea shabiki wa Azam,Mtibwa,Mbeya Kwanza,KMC,Ruvu,Kagera nk kwahiyo maelezo/mawazo yao yasingeendeshwa na hisia na mihemko

Leo hii ukae Tanzania unasema Simba inafanya hujuma katika uteuzi wa waamuzi wa michezo Yao ya nyumbani, hivi kwa Akili za kuvukia zebra Tu Simba inaweza kuizidi nguvu/ushawishi/pesa Al ahyl ili Caf ifanye ukanjanja wa Simba kumfunga Al ahyl Kwa Mkapa mara 2 nzima?

Siku Yanga ikiwa team kubwa ndio itajua falsafa ya mpira wa kiafrica ikoje, mpira wa Africa unakutaka upate matokeo nyumbani kwako ila huzuiliwi kushinda ugenini, ila team nyingi zinaenda away na mentality ya kutafuta draw kwahiyo kama Una kikosi kizuri na uzoefu basi Africa unaifunga team yoyote ukiwa nyumbani kwako

Leo hii mfano south Africa team zao zote zina washabiki wake, kwahiyo huwezi kukuta mashabiki wa kaizer,baroka, Orlando,Cape town city,amazulu, pirates, supersport na team zingine wanaungana kuinanga mamelod kwamba inatumia hujuma kushinda game za nyumbani

Kwa mpira wa Africa ukiona bado hujaanza kulalamikiwa unapokuwa kwako basi ujue wewe sio team kubwa na huna dalili za kuja kuwa team kubwa, Simba na Yanga zilikuwa zinaongoza Kwa malalamiko kila wakienda nje, Ila wageni wakija kwetu hawalalamiki maana wanajua wanakuja kushinda, Leo hii Simba inaenda kucheza nje na huskii malalamiko japokuwa wanafungwa Kwa sababu washakuwa na mentality za ukubwa

Simba Leo hii inalalamikiwa Kwa sababu teyari ishaproove ina uwezo wa kushinda game za nyumbani, kwahiyo imeset standard Kwa mkapa, kama anafungwa Al ahyl basi kiufupi hakuna team itashtuka ikipoteza Kwa mkapa ila saizi wanakuja na mind game zao Kwa kujua huku kuna mashabiki wa team 2 kwahiyo ata iweje watapata support Tu, kisha sie tunabaki na usimba wetu na uyanga wetu

Ndomana ni rahisi kuskia Al ahyl akilalamikia mamelod kuwa inawahujumu,au Raja akitoa shutuma Kwa Al ahyl, au zamaleki akishtaki caf wydad au Tunis akilalamikia mazembe maana hizo club ziko level moja kwenye nguvu/ushawishi hivo yoyote anaweza kufanya chochote ili wahakikishe wanashinda nyumbani

Ila unachokisema wewe ni Sawa na useme KMC wawe na uwezo wa kuhonga TFF ili waamuzi wawapendelee dhidi ya Yanga au Simba utakuwa mjinga wa mwisho, maana hawana nguvu hiyo ya ushawahi wala pesa, Mentality za Team ndogo ni kama Yanga kwenda kutaka kugomea mchezo kule Nigeria dhidi ya rivers utd, ule ni mfano wa team ndogo ambayo haijiamini dhidi ya team ya level yake
 
Tatizo la mpira wa Tanzania ni kuwa na mashabiki wa team 2 Tu, hapo ndio shida ilipo na haitokuja kuisha kamwe, akishinda Simba walalamikaji ni mashabiki wa Yanga, kuanzia wachambuzi,waandidhi na watangazaji

Laiti kama Tanzania ingekuwa na utamaduni wa kuwa na mashabiki wa team tofauti tofauti ingekuwa rahisi sana kuzuia Mambo kama haya maana ataongea shabiki wa Azam,Mtibwa,Mbeya Kwanza,KMC,Ruvu,Kagera nk kwahiyo maelezo/mawazo yao yasingeendeshwa na hisia na mihemko

Leo hii ukae Tanzania unasema Simba inafanya hujuma katika uteuzi wa waamuzi wa michezo Yao ya nyumbani, hivi kwa Akili za kuvukia zebra Tu Simba inaweza kuizidi nguvu/ushawishi/pesa Al ahyl ili Caf ifanye ukanjanja wa Simba kumfunga Al ahyl nyumbani kwake mara 2 nzima?

Siku Yanga ikiwa team kubwa ndio itajua falsafa ya mpira wa kiafrica ikoje, mpira wa Africa unakutaka upate matokeo nyumbani kwako ila huzuiliwi kushinda ugenini, ila team nyingi zinaenda away na mentality ya kutafuta draw kwahiyo kama Una kikosi kizuri na uzoefu basi Africa unaifunga team yoyote ukiwa nyumbani kwako

Leo hii mfano south Africa team zao zote zina washabiki wake, kwahiyo huwezi kukuta mashabiki wa kaizer,baroka, Orlando,Cape town city,amazulu, pirates, supersport na team zingine wanaungana kuinanga mamelod kwamba inatumia hujuma kushinda game za nyumbani

Kwa mpira wa Africa ukiona bado hujaanza kulalamikiwa unapokuwa kwako basi ujue wewe sio team kubwa na huna dalili za kuja kuwa team kubwa, Simba na Yanga zilikuwa zinaongoza Kwa malalamiko kila wakienda nje, Ila wageni wakija kwetu hawalalamiki maana wanajua wanakuja kushinda, Leo hii Simba inaenda kucheza nje na huskii malalamiko japokuwa wanafungwa Kwa sababu washakuwa na mentality za ukubwa

Simba Leo hii inalalamikiwa Kwa sababu teyari ishaproove ina uwezo wa kushinda game za nyumbani, kwahiyo imeset standard Kwa mkapa, kama anafungwa Al ahyl basi kiufupi hakuna team itashtuka ikipoteza Kwa mkapa ila saizi wanakuja na mind game zao Kwa kujua huku kuna mashabiki wa team 2 kwahiyo ata iweje watapata support Tu, kisha sie tunabaki na usimba wetu na uyanga wetu

Ndomana ni rahisi kuskia Al ahyl akilalamikia mamelod kuwa inawahujumu,au Raja akitoa shutuma Kwa Al ahyl, au zamaleki akishtaki caf wydad au Tunis akilalamikia mazembe maana hizo club ziko level moja kwenye nguvu/ushawishi hivo yoyote anaweza kufanya chochote ili wahakikishe wanashinda nyumbani

Ila unachokisema wewe ni Sawa na useme KMC wawe na uwezo wa kuhonga TFF ili waamuzi wawapendelee dhidi ya Yanga au Simba utakuwa mjinga wa mwisho, maana hawana nguvu hiyo ya ushawahi wala pesa, Mentality za Team ndogo ni kama Yanga kwenda kutaka kugomea mchezo kule Nigeria dhidi ya rivers utd, ule ni mfano wa team ndogo ambayo haijiamini dhidi ya team ya level yake
Mkuu , hapa umemwaga madini ya hatari. Lakini utopolo watakuja wakupopowe kwa mawe.
 
Tuipitie kidogo hii taarifa

IMG-20220419-WA0041.jpg


IMG-20220419-WA0040.jpg
 
Back
Top Bottom