CAF itaruhusu kila klabu kusajili wachezaji 40 badala ya 30

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,805
4,500
1655973430023.png

Kuelekea msimu mpya wa michuano ya CAF yaani Klabu Bingwa na Kombe la Shirikisho. Shirikisho la Mprira Barani Afrika (CAF) limeweka bayana mambo kadhaa.

1. CAF itaruhusu kila klabu kusajili wachezaji 40 badala ya 30

2. Kuanzia sasa wachezaji 9 watakaa kwenye benchi badala ya 7ilivyokuwa awali.

3. Kanuni ya kubadili wachezaji watano 5 katika mchezo mmoja iuwa ya kudumu.

Kanuni hizi ziliwekwa kipindi cha mlipuko wa Covid-19 lakini kwa sasa CAF wameamua kuendelea nazo.

Haya ni baadhi ya mambo machache ya kuzingatia kabla ya Mashindano ya CAF 2022/23 Inter-Club.
 
Utashangaa kuna watu watanuna! Na wakati hii ni fursa pia kwa vijana, maana itaongeza wigo wa ajira.
 
Tff nao waongeze wachezaji wa kigeni watakao cheza katika mechi Moja.
 
Back
Top Bottom