Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 15,723
- 28,262
Wadau,habari zenu!.kulikuwa na kijikazi fulani nafanya hapa Dsm kwa miez 5 hv ambapo nili2mia masaa 7 kati ya 10 kila cku kuzunguka hili Jiji hasa maeneo ya posta,masaki,mikocheni,msasani,mbezi beach na mwenge hvyo nilipata fursa ya kuona aina za magari tofauti tofaut kuna cku 1 tu kati ya cku tkrbn 150 niliona hili gari maeneo ya ocean road.Nilijiuliza hili gari ni gharama sana ama? Au bei yake ni ndogo sana ukicompare na mengine ya gharama? au yamisha pitwa na wakati?,pia kwa anefahamu bei yake either new or used naomba unifahamishe