Cadillac Escalade

Econometrician

JF-Expert Member
Oct 25, 2013
15,723
28,262
Wadau,habari zenu!.kulikuwa na kijikazi fulani nafanya hapa Dsm kwa miez 5 hv ambapo nili2mia masaa 7 kati ya 10 kila cku kuzunguka hili Jiji hasa maeneo ya posta,masaki,mikocheni,msasani,mbezi beach na mwenge hvyo nilipata fursa ya kuona aina za magari tofauti tofaut kuna cku 1 tu kati ya cku tkrbn 150 niliona hili gari maeneo ya ocean road.Nilijiuliza hili gari ni gharama sana ama? Au bei yake ni ndogo sana ukicompare na mengine ya gharama? au yamisha pitwa na wakati?,pia kwa anefahamu bei yake either new or used naomba unifahamishe
 
Wadau,habari zenu!.kulikuwa na kijikazi fulani nafanya hapa Dsm kwa miez 5 hv ambapo nili2mia masaa 7 kati ya 10 kila cku kuzunguka hili Jiji hasa maeneo ya posta,masaki,mikocheni,msasani,mbezi beach na mwenge hvyo nilipata fursa ya kuona aina za magari tofauti tofaut kuna cku 1 tu kati ya cku tkrbn 150 niliona hili gari maeneo ya ocean road.Nilijiuliza hili gari ni gharama sana ama? Au bei yake ni ndogo sana ukicompare na mengine ya gharama? au yamisha pitwa na wakati?,pia kwa anefahamu bei yake either new or used naomba unifahamishe

https://www.facebook.com/media/set/?set=a.311640572319197.1073741832.310725752410679&type=1
 
Wadau,habari zenu!.kulikuwa na kijikazi fulani nafanya hapa Dsm kwa miez 5 hv ambapo nili2mia masaa 7 kati ya 10 kila cku kuzunguka hili Jiji hasa maeneo ya posta,masaki,mikocheni,msasani,mbezi beach na mwenge hvyo nilipata fursa ya kuona aina za magari tofauti tofaut kuna cku 1 tu kati ya cku tkrbn 150 niliona hili gari maeneo ya ocean road.Nilijiuliza hili gari ni gharama sana ama? Au bei yake ni ndogo sana ukicompare na mengine ya gharama? au yamisha pitwa na wakati?,pia kwa anefahamu bei yake either new or used naomba unifahamishe


2006 Cadillac Escalade 4dr SUV
 
Wadau,habari zenu!.kulikuwa na kijikazi fulani nafanya hapa Dsm kwa miez 5 hv ambapo nili2mia masaa 7 kati ya 10 kila cku kuzunguka hili Jiji hasa maeneo ya posta,masaki,mikocheni,msasani,mbezi beach na mwenge hvyo nilipata fursa ya kuona aina za magari tofauti tofaut kuna cku 1 tu kati ya cku tkrbn 150 niliona hili gari maeneo ya ocean road.Nilijiuliza hili gari ni gharama sana ama? Au bei yake ni ndogo sana ukicompare na mengine ya gharama? au yamisha pitwa na wakati?,pia kwa anefahamu bei yake either new or used naomba unifahamishe


[h=5]Nunua Ndege, Helicopter, Meli Na Magari Kutoka Marekani[/h]
 
Wadau,habari zenu!.kulikuwa na kijikazi fulani nafanya hapa Dsm kwa miez 5 hv ambapo nili2mia masaa 7 kati ya 10 kila cku kuzunguka hili Jiji hasa maeneo ya posta,masaki,mikocheni,msasani,mbezi beach na mwenge hvyo nilipata fursa ya kuona aina za magari tofauti tofaut kuna cku 1 tu kati ya cku tkrbn 150 niliona hili gari maeneo ya ocean road.Nilijiuliza hili gari ni gharama sana ama? Au bei yake ni ndogo sana ukicompare na mengine ya gharama? au yamisha pitwa na wakati?,pia kwa anefahamu bei yake either new or used naomba unifahamishe

Cadillac Escalade latest model ya 2014 bei yake ni chini ya Toyota Landcruiser V8 mpya ya 2014. Bei zimepishana kwa kama dola 20,000 hivi.
 
Kati ya SUV's ninazozifahamu V8 ($79,000) ni the most expensive ikifuatiwa na toyota highlander/jeep grand cherokee.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom