Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,194
- 823
Habarini JF Experts.
Cache ni nini?
Maana kwenye App nyingi naona hili neno,lina maana gani kwenye Apps?
Cache ni nini?
Maana kwenye App nyingi naona hili neno,lina maana gani kwenye Apps?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi ni data ambazo kifaa chako huifadhi kama kumbukumbu ya matumizi yako ili kukupa huduma faster pale utakaporudia process ile ya mwanzo. Chukua mfano wa Web Cache; unapotembelea tovuti kwa mara ya kwanza inaweza kuchukua muda kidogo kuload lakini baadae ukifungu tovuti ile ile load speed yake inakua haraka sana. Cache zipo aina tofauti kuna CPU cache, Web Cache n.k..lakini zote zinafanya kazi sawa kusave muda na bandwidth.Habarini JF Experts.
Cache ni nini?
Maana kwenye App nyingi naona hili neno,lina maana gani kwenye Apps?
Ila kwangu hzo cache znafanya simu yangu kuwa slow sanaHizi ni data ambazo kifaa chako huifadhi kama kumbukumbu ya matumizi yako ili kukupa huduma faster pale utakaporudia process ile ya mwanzo. Chukua mfano wa Web Cache; unapotembelea tovuti kwa mara ya kwanza inaweza kuchukua muda kidogo kuload lakini baadae ukifungu tovuti ile ile load speed yake inakua haraka sana. Cache zipo aina tofauti kuna CPU cache, Web Cache n.k..lakini zote zinafanya kazi sawa kusave muda na bandwidth.
Inawezekana ikawa sababu lakini pia uangalie visababishi vingine kama kujaa kwa storage ya simu yako,kama utashindwa kufanya manually, kuna applications kibao za kukusaidia kupunguza files zisizokua muhimu. Kama device yako ni simu ya Android jaribu kutumia ES File Explorer au Clean Master.Ila kwangu hzo cache znafanya simu yangu kuwa slow sana
alafu kuna cookies.... sijui ni nnIla kwangu hzo cache znafanya simu yangu kuwa slow sana
Ahsante mkuu kwa maelezo swafiiInawezekana ikawa sababu lakini pia uangalie visababishi vingine kama kujaa kwa storage ya simu yako,kama utashindwa kufanya manually, kuna applications kibao za kukusaidia kupunguza files zisizokua muhimu. Kama device yako ni simu ya Android jaribu kutumia ES File Explorer au Clean Master.
Kufuta CACHE ni rahisi kwa Android, nenda kwenye Settings... >Apps... > fungua App unayoituhumu.... utaona button inayosema Clear Cache
Hizi ni data ambazo kifaa chako huifadhi kama kumbukumbu ya matumizi yako ili kukupa huduma faster pale utakaporudia process ile ya mwanzo. Chukua mfano wa Web Cache; unapotembelea tovuti kwa mara ya kwanza inaweza kuchukua muda kidogo kuload lakini baadae ukifungu tovuti ile ile load speed yake inakua haraka sana. Cache zipo aina tofauti kuna CPU cache, Web Cache n.k..lakini zote zinafanya kazi sawa kusave muda na bandwidth.
Naomba nijaze kolosho za kutosha nisubili jibu apaalafu kuna cookies.... sijui ni nn
Hujakosea mkuu.Hizi ni data ambazo kifaa chako huifadhi kama kumbukumbu ya matumizi yako ili kukupa huduma faster pale utakaporudia process ile ya mwanzo. Chukua mfano wa Web Cache; unapotembelea tovuti kwa mara ya kwanza inaweza kuchukua muda kidogo kuload lakini baadae ukifungu tovuti ile ile load speed yake inakua haraka sana. Cache zipo aina tofauti kuna CPU cache, Web Cache n.k..lakini zote zinafanya kazi sawa kusave muda na bandwidth.
"Junk files" ni jina la kisanii linalotumika kuwakilisha mafaili na folder yasiyokua na umuhimu/taka kwenye storage ya simu au computer yako. Mfano kila unapo-install program fulani kwenye device yako ile program hutengeneza folder(workspace) kwa ajili ya kufanyia kazi mule, sasa baadae unapoondoa (unistall) ile program lile folder na files zilizopo ndani hubakia kwenye storage na hizi huchangia kujaza space.Kuna kitu inaitwa junk n nn
Umewahi kujaza form yeyote kwenye tovuti? Wengi watasema ndiyo maana ata ku-login hapa JF lazima ujaze form yenye username na password.. Pale unapofanya hivi browser(Chrome, Edge, Opera) itakuomba ruhusa ya kukumbuka password na username, baadae utakapofungua ile website utaona username na password yako ziko pale kwenye form zikiwa highlighted kwa rangi ya njano.alafu kuna cookies.... sijui ni nn
mkuu nieleweshe huwa nakutana na baadh ya websites zinazosema cjui zina use cookies kuimprove user nini na nini... .huwa wana maana ganUmewahi kujaza form yeyote kwenye tovuti? Wengi watasema ndiyo maana ata ku-login hapa JF lazima ujaze form yenye username na password.. Pale unapofanya hivi browser(Chrome, Edge, Opera) itakuomba ruhusa ya kukumbuka password na username, baadae utakapofungua ile website utaona username na password yako ziko pale kwenye form zikiwa highlighted kwa rangi ya njano.
Hivyo basi cookies hutumika na tovuti kukumbuka taarifa muhimu za watembeleaji wa tovuti husika iwe ni majina, passwords, shopping cart customization.
Hii inamaanisha ukiiruhusu website kuhifadhi cookies kwenye pc yako, wao watakua na uwezo wa kukuhudumia kulingana na mwenendo wako unapokua kwenye ile tovuti husika. Mfano tovuti ya Flipboard.com, tovuti hii ina mchanganyiko wa habari na makala kuhusu topic mbalimbali hivyo pale utakapo kubali kupokea cookies zao hii itawasaidia kukuletea zinapohisiana na vile ulivyoangalia wakati uliopita.mkuu nieleweshe huwa nakutana na baadh ya websites zinazosema cjui zina use cookies kuimprove user nini na nini... .huwa wana maana gan
asante nimekuelewa mkuu... ubarikiweHii inamaanisha ukiiruhusu website kuhifadhi cookies kwenye pc yako, wao watakua na uwezo wa kukuhudumia kulingana na mwenendo wako unapokua kwenye ile tovuti husika. Mfano tovuti ya Flipboard.com, tovuti hii ina mchanganyiko wa habari na makala kuhusu topic mbalimbali hivyo pale utakapo kubali kupokea cookies zao hii itawasaidia kukuletea zinapohisiana na vile ulivyoangalia wakati uliopita.