Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,742
Hivi mbona mnakuwa kama walevi?
mnajadili KATIBA ya ZANZIBAR wakati hakuna aliyeuona mkataba wa MUUNGANO sasa kama kweli mko serious leteni mktaba wa MUUNGANO kisha tuta move on kwenye ajenda hizi zinginezo
maana kuna tatizo la legality ya muungano wenyewe
Point mzee. this one is good.