Peopleee's Power!! Naomba niwape pongezi uongozi mzima wa CHADEMA kwa mafanikio mliofikia huko Igunga, binafsi nayaita "mafanio," maana kuanzia 0 hadi maelfu ya kura ni jambo la kujivunia!
Ninayo mengi ya kuomba yafanyike kabla ya uchaguzi mkuu 2015, ila baadhi ni haya chini na mengine wadau wenye uchungu na nchi hii(mawazo endelevu) wataniongezea.
(A) Mkitumia sera zenu safi mlizo nazo, jitahidini kwa khari na mali kutoa elimu vijijini kwa kasi, maana vijiji vingi Tz bado wamelala, hawajajua maana halisi ya ukombozi! (e.g, fanya tathimini kati ya kura za Igunga mjini na vijijini).
(B) Taftieni ufumbuzi wa SUMU ya UDINI iliyoenezwa na mafisadi ktk kampeini za Igunga! Mimi nadhani kwa hili muwaite viongozi wa dini mzungumze nao na mfanye nao mihadhara ili kuondoa habari za udini ktk watu.
(C)Watembeleeni mara kwa mara na kuwashukuru wapiga kura wenu maana ndo mtaji wetu ktk ukombozi wa taifa hili.
(D) Fungueni ofisi za matawi nyingi hususani vijijini maana 2015 mtakabidhiwa nchi hivyo mpate pa kuanzia, (kiufupi mjipange kuongoza nchi).
(E) Boresheni mshikamano ndani ya chama, msimamo thabiti, maana ni dhahiri mnawindwa na mafisadi ili chama kififie(e.g, wamewaonga CUF chopa ili kuidhoofisha cdm)
"Nawatakieni kila la kheri Mungu yu pamoja nasi CHADEMA."
PEOPLEEEE's .....!
Nawasilisha.
Ninayo mengi ya kuomba yafanyike kabla ya uchaguzi mkuu 2015, ila baadhi ni haya chini na mengine wadau wenye uchungu na nchi hii(mawazo endelevu) wataniongezea.
(A) Mkitumia sera zenu safi mlizo nazo, jitahidini kwa khari na mali kutoa elimu vijijini kwa kasi, maana vijiji vingi Tz bado wamelala, hawajajua maana halisi ya ukombozi! (e.g, fanya tathimini kati ya kura za Igunga mjini na vijijini).
(B) Taftieni ufumbuzi wa SUMU ya UDINI iliyoenezwa na mafisadi ktk kampeini za Igunga! Mimi nadhani kwa hili muwaite viongozi wa dini mzungumze nao na mfanye nao mihadhara ili kuondoa habari za udini ktk watu.
(C)Watembeleeni mara kwa mara na kuwashukuru wapiga kura wenu maana ndo mtaji wetu ktk ukombozi wa taifa hili.
(D) Fungueni ofisi za matawi nyingi hususani vijijini maana 2015 mtakabidhiwa nchi hivyo mpate pa kuanzia, (kiufupi mjipange kuongoza nchi).
(E) Boresheni mshikamano ndani ya chama, msimamo thabiti, maana ni dhahiri mnawindwa na mafisadi ili chama kififie(e.g, wamewaonga CUF chopa ili kuidhoofisha cdm)
"Nawatakieni kila la kheri Mungu yu pamoja nasi CHADEMA."
PEOPLEEEE's .....!
Nawasilisha.