Jamani nimeona watu mkitaja Wassira! huyu jamaa anafaaa? mbona sipati picha! Mwenye nondo animwagie.
Serengeti,
1. Hivi mawaziri waote wakuu ni lazima watoke Mara, Arusha/Manyara na Dodoma?
2. Tatizo kubwa la Tyson ni divided loyalty yake kwa CCM he defected to NCCR Mageuzi. So imani ya CCM kumpa cheo cha u PM sii rahisi!
SALIM AHMED SALIM.
Kingunge Mwiru
Habari zinazoifikia intelligence unit yangu na wenzangu zinasema kuwa Kikwete atampendekeza Mama Ana Makinda kuwa waziri mkuu mpya wa jamhuri ya Tanzania.
Source karibu kabisa na Kikwete zinasema kuwa wanamtandao wanataka kuwa na mtu ambaye hana ambition za uraisi na wala hana nafasi ya kumfunika Kikwete katika utendaji kazi wake.
Kumbuka hii habari inaweza kubadilika kutokana na upinzani fulani unaoonyesha na waziri mmoja ambaye ni rafiki mkubwa wa Kikwete na ambaye anasubiria hii nafasi kwa hamu kubwa pia.
Wana JF watch this thread wakati hii habari ikiendelea kufunguka na uhakika wote ukiendelea kuwekwa kuwa Kikwete hatabadilisha mawazo yake katika hatua za mwisho mwisho kama alivyofanya b4
.....
My Take......
Kwa vile inaonekana PM atakuwa chaguo la kikwete, binafsi ninaunga mkono Mama Makinda for PM! at least for now....
tik tak tik tak tik......
Hivi tumekosa watu mpaka turudi kwenye mitumba? Hao wazee walishatimiza majukumu yao na sasa vijana wapewe nafasi ya kuongoza.
Kwa utendaji ninaouona toka kwa PM na baraza la mawaziri naamini vijana wengi tu wanaweza kufanya hizo kazi kwa ufanisi mkubwa.
Blair alikuwa na miaka mingapi alipokuwa waziri mkuu? Muhimu ni kuwa mwepesi wa kuelewa, kukubali kujifunza na kuwa na wasaidizi wanaofaa.
Kishoka huyo Maria Kejo si ndio ametuingiza kwenye mikataba ya ajabu ajabu sana na tuliwahi kumwongelea humu...naona hapo ni kurudishana nyuma kuweka watu kama hao ambao ndio walioshirikiana na kina Karamagi kwenye ile mikataba mibovu
Mzalendohalisi,
Nooo, bob niko serious. Huyu jamaa kama unakumbuka tulikuwa na ubishi fulani siku za nyuma kati yake na Mwandosya...wakampaka sana kuwa ni mtandao, zizi moja na EL na RA...
Tumeona kamati kibao zikichaguliwa na hakuna hata moja iliyowahi ku deliver isipokuwa hii. Na huyu mkulu kama mwenyekiti angeweza kabisa kuzuia baadhi ya vitu visijadiliwe ama kuchunguzwa na kama EL ama RA walishindwa kumzuia ina maana moja tu... he is clean!
Nitashangaa sana kama Anna Makinda atapewa hiyo nafasi ya u-PM ... inasemekana huyo mama hana hata mume; sasa mtu anayeshindwa "kuongoza" famlia yake ataweza kuongoza watu milioni 40??!!
Umesahau kuwa yupo kwenye Tume ya Rais ya Madini chini ya Jaji Bomani?Kishoka huyo Maria Kejo si ndio ametuingiza kwenye mikataba ya ajabu ajabu sana na tuliwahi kumwongelea humu...naona hapo ni kurudishana nyuma kuweka watu kama hao ambao ndio walioshirikiana na kina Karamagi kwenye ile mikataba mibovu
Natabiri PINDA...huyu ndie alikuwa choice yake JK kabla ya wanamtandao wa CCM kumlazimisha na kumpa EL