Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,526
- 19,381
Ditopile Ukiwaona Mzuzuri
................Toba!
Ditopile Ukiwaona Mzuzuri
kichuguu,
..Mama Kilango elimu yake ni ndogo kuweza kuwa waziri mkuu ktk zama hizi.
..waziri mkuu ni mtu ambaye most likely atakuja kuwa Raisi wetu.
..Naona safe candidate ktk cabinet ni Prof.David Mwakyusa.
wewe tayari ni kafara "bangusilo"
kichuguu,
..Mama Kilango elimu yake ni ndogo kuweza kuwa waziri mkuu ktk zama hizi.
..waziri mkuu ni mtu ambaye most likely atakuja kuwa Raisi wetu.
..Naona safe candidate ktk cabinet ni Prof.David Mwakyusa.
Labda Hawa Ghasia!!
maana machaguzi ya JK hayatabiriki, pamoja na warning zote kutoka kwa JKN bado ndugu Lowassa alikuwa PM!
Apewe Lawrance Masha
Apewe Lawrance Masha
Atakuwa Wasira.
Hawezi toka Visiwani na ni lazima awe Mkristo!