C+E(3+1)=4, Jamani hizi zinakuwezesha kuchukua degree usiwe na mashaka

Ndio E ni principal pass lakin TCU wanasema wanataka principal pass mbili kuanzia D Sasa ww unapolazimisha..Wewe umefanya maombi lini ya E mbili ukakubaliwa?
Ukisoma kitu soma kwa umakini. Umewekewa bandiko kwa mfano mchango No. 43 wa Kng Dav II kutoka UDSM wanataka "4 points from two subjects" sasa point 4 unazipataje? DD au CE.
Habari ya E mbili "Vijana watu walitinga Muhimbili UDSM na E mbili tu (Chemistry na Biology)". Hii ni ya enzi zetu -sijasema na E2 kwa sasa utatinga Muhimbili kwani hata wenye hizo PCB za DCC sasa hivi Muhimbili ni kaa la moto.
 
... a total of 4.0 points in two subjects...
Kuna ugumu gani hapo kuelewa hilo. Ukiwa na kuanzia DD ni sawa, ukiwa na kuanzia CE ni sawa pia. Easy!
Wanafunzi wa siku hizi hawaelewi kwa urahisi.... Kama wanakubishia kuwa huwezi kupata chuo kwa daraja C na E waache wakauze maandaazi mitaani.. Maana mtu umejitolea kuwaelimisha teba kwa mifano hai lakini bado hawaelewi
 
Usidanganye watu Kama Kuna mtu mwenye sifa hizo kachaguliwa basi fahamu ni makosa ya chuo na TCU haimtambui Sasa ajiroge asome tu chet atapewa na Bibi ake.
Yan ww ndo ngedere inawezekana vip chuo kikuchague bila TCU Ku confirm au unataka kusema sahiv TCU aihusiki admission no.anayetoa n nani
 
Wanafunzi wa siku hizi hawaelewi kwa urahisi.... Kama wanakubishia kuwa huwezi kupata chuo kwa daraja C na E waache wakauze maandaazi mitaani.. Maana mtu umejitolea kuwaelimisha teba kwa mifano hai lakini bado hawaelewi
Tutawabana humu humu hadi kieleweke, kuelimisha watu ni kazi lakini ukiamua itabidi utumie kila mbinu ujumbe ufike. Cha kufurahisha kila mwaka wasiolewa na wazushi hutokea kwenye hili jambo la C na E lakini hatuchoki kuwaelimisha.
 
Yan ww ndo ngedere inawezekana vip chuo kikuchague bila TCU Ku confirm au unataka kusema sahiv TCU aihusiki admission no.anayetoa n nani
We tako tuliopo huko tunajua Kuna watu wamechaguliwa kimakosa na vyuo hawatambuliki na TCU na wanarudi kutafuta mbadala waombe Mambo mengine usiwe Kama kangi.
 
i. Direct Entry
For form six applicants the minimum entry
qualification is two principal passes in
relevant A-Level subjects totaling 4.0 points
(except programmes at the College of Health
Sciences 4.5 and 5) and three credits at „O‟
Level
 
For applicants who completed their studies
in 2014 and beyond, the principal passesare
„A to D. The grades are weighed as follows A
= 5, B+ = 4, B = 3, C = 2, D = 1 and E = 0.5
 
We tako tuliopo huko tunajua Kuna watu wamechaguliwa kimakosa na vyuo hawatambuliki na TCU na wanarudi kutafuta mbadala waombe Mambo mengine usiwe Kama kangi.
Sawa kenge ww rejea mwaka 2014 kilichotokea usiwe unaota wakt wapo watu wamemaliza na matokeo yao nayajua ww danganya watu ikiwa principal pass n E
 
Wanafunzi wa siku hizi hawaelewi kwa urahisi.... Kama wanakubishia kuwa huwezi kupata chuo kwa daraja C na E waache wakauze maandaazi mitaani.. Maana mtu umejitolea kuwaelimisha teba kwa mifano hai lakini bado hawaelewi
Shida sio wanafunzi ila kuna watu waliosoma zamani ndio wanapotosha wanafunzi wanaomaliza sasa hivi
 
Sawa kenge ww rejea mwaka 2014 kilichotokea usiwe unaota wakt wapo watu wamemaliza na matokeo yao nayajua ww danganya watu ikiwa principal pass n E
For applicants who completed their studies

in 2014 and beyond, the principal passesare

„A to D. The grades are weighed as follows A

= 5, B+ = 4, B = 3, C = 2, D = 1 and E = 0.5
Endelea kubusha
 
E mbili hukubaliwi kwa sababu hujafikisha point 4 ila ukiwa na EEC unakubaliwa maana umefikisha point 4
Pamoja na kufikisha point nne lazima uwe na two principal pass from either subjects sasa huyu wa CEE ana point 4 but 1 principal pass anakuwa disqualify kwanini mnataka watu wapoteze hela sehemu isiyowezekana kuweni waungwana basi.
 
Pamoja na kufikisha point nne lazima uwe na two principal pass from either subjects sasa huyu wa CEE ana point 4 but 1 principal pass anakuwa disqualify kwanini mnataka watu wapoteze hela sehemu isiyowezekana kuweni waungwana basi.
Niletee document ikionesha E sio principal pass kutoka TCU
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom