Luqman mohamedy
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 892
- 1,226
Ni kiongozi yupo duniani aliye madarakani au mstaafu mwenye account instagram??!Jibu ni hakuna!!!Wengi wanaogopa matusi na kukosolewa kwa yale waliyofanya kipindi cha uongozi wao but JK prove them wrong yeye ana insta account ambapo yeyote anaweza kumwambia chochote na akakiona directly
Aisee huyu mzee ni mvumlvu na mwenye busara
Tunahitaji viongozi wakubwa watatu kama hawa kutuonyesha ukomavu wa kisiasa.
JK ametuonesha tofauti za kisiasa isiwe sababu ya kututenganisha na watu wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee huyu mzee ni mvumlvu na mwenye busara
Tunahitaji viongozi wakubwa watatu kama hawa kutuonyesha ukomavu wa kisiasa.
JK ametuonesha tofauti za kisiasa isiwe sababu ya kututenganisha na watu wetu
Sent using Jamii Forums mobile app