Nafasi ya Physics imechukuliwa na the most advanced subject liitwalo Engineering Science na History nadhani haipo kwa sababu masomo ya ufundi yamechukua nafasi yake,lakini akifaulu atachukua mchepuo wowote unaohusisha Physics!tena baadhi ya topics atazisoma O-level na huko mbele atafanya kurudia.hali itakuwa hivyo kama hiyo Bwiru ina masomo ya ufundi.Kuna kijana wa rafiki yangu kachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza shule ya sekondari ya wavulana bwiru, cha kunishangaza shule ile haina soma la physics. Hii imekaaje? Akimaliza kidato cha 4 anàsoma mchepuo UPI kidàto cha 6 wa sayansi?
It prepares them for engineering subjectsyes
engineering science is more than physics