Waungwana salaam,
Bw Bwire Mugeta
Alikopa fedha jumla ya 470,000/= na alihaidi kulipa ndani ya siku saba lakini hadi leo hajafanya hivyo, huyu jamaa amekuwa sio mstarabu fedha hizi alikopa mkoani shinyanga 28/01/2010 akiwa kama mfanyakazi wa UNV-UNDP kama NUNV SPECIALIST.SASA kwa sababu ameamua kumwaga mboga nami nitafika ofisini kwao kuchukuwa hatua.kama anajuwa huko aliko nampa 7 day ani PM zikipita nitamtoa kwenye magazeti yote.
NB: nimefungua majarada Polisi Central Shy na central Dar
Zawadi nono kwa atakae fanikisha kukamatwa
Bw Bwire Mugeta
Alikopa fedha jumla ya 470,000/= na alihaidi kulipa ndani ya siku saba lakini hadi leo hajafanya hivyo, huyu jamaa amekuwa sio mstarabu fedha hizi alikopa mkoani shinyanga 28/01/2010 akiwa kama mfanyakazi wa UNV-UNDP kama NUNV SPECIALIST.SASA kwa sababu ameamua kumwaga mboga nami nitafika ofisini kwao kuchukuwa hatua.kama anajuwa huko aliko nampa 7 day ani PM zikipita nitamtoa kwenye magazeti yote.
NB: nimefungua majarada Polisi Central Shy na central Dar
Zawadi nono kwa atakae fanikisha kukamatwa