Taarifa za uhakika zilizonifikia bweni la wanaume katika Sekondari ya Lugoba iliyopo wilayani Bagamoyo jimbo la Chalinze limeungua moto. Chanzo cha moto hakijajulikana na polisi kutoka kituo kidogo cha Chalinze walikuwa wanaelekea kwenye shule.
Hali ya hatari hii jamani kwa vijana wetu! Nawapa pole sana, nina mtoto pale ila ni wa kike maana presha ilianza kupanda ghafla nilipoona hii thread. Nitafuatilia zaidi nami kujua kulikoni.
asante kwa taarifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.