Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,364
- 33,003
Sheikh Alhad Salum wa Dsm atakuwa anajua sababuBweni la shule ya Sekondari ya wasichana ya Uchira Islamic iliyoko wilaya ya Moshi vijijini mkoani Kilimanjaro, limeteketea kwa moto jioni ya Oktoba 16, 2020 na chanzo cha moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa, hakuna kifo cha mwanafunzi yeyote.
Source:
View attachment 1602949