kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,751
- 595
Bweni hilo limeungua baada ya jenereta kulipuka kufuatia kukatika kwa umeme baada ya kimbunga kilichoangusha nguzo za umeme Kipawa jana. shule hiyo iliyoko Buza jijini dar inamilikiwa na Kapteni Makinda nduguye Spika Anna Makinda. Hakuna kifo wala majeruhi.
Chanzo: Majirani eneo la shule
Chanzo: Majirani eneo la shule