Tena ujinga wa hali ya juu! Ni kama wewe ukope kujenga choo!Unajenga madarasa kwa hela ya mkopo si kituko hicho jamani
Tena ujinga wa hali ya juu! Ni kama wewe ukope kujenga choo!Unajenga madarasa kwa hela ya mkopo si kituko hicho jamani
Uwanja wa Ndege alimalizia na madaraja kibao!Mbona Magufuri alishindwa yale yaliyokuwa yameanzishwa na mtanguli wake?
Ujenzi wa gati na ujenzi ulikuwa ushaanza zaidi ya 20% huyo bibiako anatumia vision ya Magufuli! Ni mweupe sana kichwani!Kwani jpm kafanya Nini kwenye hiyo meli zaidi ya kutamka ambapo hata Mimi ni ningeweza kutamka bila vitendo
Angekuwa ye bwawa la umeme ungekuwa umeishaJpm alianzisha tu na Wala hajaweka hela yeye hata 20% na asingeweza. Zote 80% zimejengwa na mama. Mama ndo anastahili sifa ila jpm ni mwanzilishi tu theoretically but the practical part of it ni mama samia
Walikata miti 2M, ni mambo ya kijinga snBado hesabu hazikupigwa vyema, Kwa speedi ya uharibifu wa mazingira nchii hii lile bwawa linaweza sababisha raia waka kufuru bure, Hydropower kwa sasa ni changamoto sana angalia South Africa, angalia Zambia kule na Bwawa lao la Kariba 1636 Megawhat wana mgao wa kutisha kabisa.
Ethiopia wanaweza kuwa na uhakika kwa sababu wanachukua maji ziwa Victoria kupitia Nile, ila kwa huku tunakotegemea mvua lile bwawa ni hasara.
Na kumbuka Serikali haijali swala la Uharibifu wa mazingira yaani ni kama haiwahusu kabisa
Ujenzi wa gati na ujenzi ulikuwa ushaanza zaidi ya 20% huyo bibiako anatumia vision ya Magufuli! Ni mweupe sana kichwani!
We unaamini kabisa Samia tofauti na kazi za kike za madarasa aanaweza kuwa na project kubwa kama Nyerere Hydro,Busisi,SGR,Tanzanite,na flyover ,Meli nk?
Na mama Samiah alikuwa na mamlaka ya kuyaacha yale yote yaliyoanzishwa na mtangulizi wake ili ajipatie sifa kwa kile ambacho angekianzisha yeye lakini kwa sababu ya uzalendo na weledi wa utendaji kazi ameamua kuyamalizia yale yote yaliyoanzishwa na Kikwete pia hata yale yaliyoanzishwa na Magufuri.Hakuawahi kushindwa, aliamua kuyaacha kabisa
Uwanja gani.Uwanja wa Ndege alimalizia na madaraja kibao!
Anayeanzisha ndiye anayejua zitatoka wapi. Anayeendeleza ashawekewa mezani zilizokusanywa. Jpm bado kinara wa maendeleoJpm alianzisha tu na Wala hajaweka hela yeye hata 20% na asingeweza. Zote 80% zimejengwa na mama. Mama ndo anastahili sifa ila jpm ni mwanzilishi tu theoretically but the practical part of it ni mama samia
Hajaamua tu, huo ndio utaratibu. Bandari ya bagamoyo tuliambiwa kuna rushwa, mama kaamua mradi utaendelea, rushwa imeisha, ataendeleza gesi mtwara na miradi mingine, ni utaratibu sio tu kupuuza ya mtangulizi wako ili usifiwe. Lakini figisu ya ufunguzi wa bwawa si uliona?Na mama Samiah alikuwa na mamlakambiwa ya kuyaacha yale yote yaliyoanzishwa na mtangulizi wake ili ajipatie sifa kwa kile ambacho angekianzisha yeye lakini kwa sababu ya uzalendo na weledi wa utendaji kazi ameamua kuyamalizia yale yote yaliyoanzishwa na Kikwete pia hata yale yaliyoanzishwa na Magufuri.
Jengo la abiria JKIAUwanja gani.
Issue ya madarasa inaboa sana, wanajinasibu wamepata matrilioni ya pesa kujenga madarasa lakini wananchi wanachangishwa pesa kujenga madarasa, hii mbona siielewi? Mliosoma Cuba mnisaidieYaani waziri wa pesa anadai madarasa ya tril 1.3 yamejengwa lakini ukizunguka hapa nchini unakuta watoto wanakaa chini.
Bwawa la Nyerere linakamailika, Mv Nyerere imekamilika. Hii yote ni sababu ya hayati JPM kusimama kidete.
NB: Mimi siko genge lolote.
Kinara wa mauaji na ukabilaAnayeanzisha ndiye anayejua zitatoka wapi. Anayeendeleza ashawekewa mezani zilizokusanywa. Jpm bado kinara wa maendeleo
Kwasababu ni muimu Kwa wananchi na alituambia anawasiwasi kama itaisha Kwa iyo alituachia tupime kiongozi mzuri na SS tunapima atakaye maliza ndie kiongozi bora na atastaili kura yetuNinachojua ni kwamba awamu hii inajitahidi sana kuhakikisha miradi yote aliyoianzisha Mwendazake inakamilika, kwa gharama yoyote ile maana wakiipuuza inakula kwao. Wataikamilisha halafu watajisifu ndio utaratibu wa serikali ya CCM.
Una matundu kichwani yako waziJpm alianzisha tu na Wala hajaweka hela yeye hata 20% na asingeweza. Zote 80% zimejengwa na mama. Mama ndo anastahili sifa ila jpm ni mwanzilishi tu theoretically but the practical part of it ni mama samia