Meshe
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 376
- 471
Kwa mabadiliko haya ya Tania nchi, Je? Bwawa la Nyerere huko Selous litajaa maji kweli, alafu baada ya muda gani?.
Mwenye data za kitaalam atutoe wasiwa isijekuwa tunafanya politik huku hela inaenda na upepo.
Vinginevyo tujiimarishe kwenye gesi na makaa ya mawe pamoja na renewable energies bila kujali kelele za COP26.
Tujixoeze kuwa wakweli hata kama tunaona ukweli haupendezi.
Mwenye data za kitaalam atutoe wasiwa isijekuwa tunafanya politik huku hela inaenda na upepo.
Vinginevyo tujiimarishe kwenye gesi na makaa ya mawe pamoja na renewable energies bila kujali kelele za COP26.
Tujixoeze kuwa wakweli hata kama tunaona ukweli haupendezi.