Vita haina macho Kiongozi. Unapikuwa umechakazwa unaweza kufanya lolote akili zitarudi baadaye wakati madhara yalishatokea.Hawezi weka sumu milele.
Hawezi thubutu kufanya upuuzi huo na akithubutu atachaa vibaya mno.Vita haina macho Kiongozi. Unapikuwa umechakazwa unaweza kufanya lolote akili zitarudi baadaye wakati madhara yalishatokea.
... Ila Egypt kulipua bwawa sio upuuzi.Hawezi thubutu kufanya upuuzi huo na akithubutu atachaa vibaya mno.
Duu mdogo wangu ata aujui dunia inavyo enda kumbe!!!! Ivi unazAni Ethiopia bwawa likilipuliwa nchi ngapi zitayumba????? Si umeona mpka sisi tz tunatengemea supply ya umeme toka kwao!! Ikiwa na ug pia...likilipuliwa jiandae na mgao wa umemeEthiopia iache kiburi maana haina uwezo wa kuikabili misri kijeshi itakuja kuharibiwa vibaya sana.
Ije kutujazia wakimbizi apa.
Tanzania inapata umeme kutoka Ethiopia?Duu mdogo wangu ata aujui dunia inavyo enda kumbe!!!! Ivi unazAni Ethiopia bwawa likilipuliwa nchi ngapi zitayumba????? Si umeona mpka sisi tz tunatengemea supply ya umeme toka kwao!! Ikiwa na ug pia...likilipuliwa jiandae na mgao wa umeme
Ndio ivo au ujaanglia iyo clip ya trummp?Tanzania inapata umeme kutoka Ethiopia?
Maji hayo hayo ambayo waethiopia wanatumia? Yaani Ethiopia atie maji sumu wakati watu wake nao wanategemea hayo maji? akili au matope hayo?Al Sisi myahudi sasa wacha apambane na Falasha
Akipiga bomu itakuwa ni kosa kubwa sana maana kila kitu kitaharibika mpaka maji yatawekewa sumu
Waache wamwage mboga
Aache kiburi ili lisilipuliwe.Duu mdogo wangu ata aujui dunia inavyo enda kumbe!!!! Ivi unazAni Ethiopia bwawa likilipuliwa nchi ngapi zitayumba????? Si umeona mpka sisi tz tunatengemea supply ya umeme toka kwao!! Ikiwa na ug pia...likilipuliwa jiandae na mgao wa umeme
Kwanini hawakuamliwa na viongozi wa ndani ya Afrika?
MAGUFULI4LIFE.
Jino kwa jinoMshenzi kweli. Kwa hili nampinga Trump; very stupid idea. Ethiopia itamwaga sumu mtoni halafu tuone. Sometimes ubabe una mipaka yake.
Donald Trump awaonya Ethiopia bwawa la nchi hiyo litalipuliwa na Misri, akizungumza na Waziri Mkuu wa Sudan , Trump amekaririwa akisema Misri italipuwa bwawa hilo kutokana na Ethiopia kukataa ushauri wake pindi alipokuwa msuluhishaji wa mgogoro huo
Walishindwa kuwatawala wakati wa ukoloni leo wataweza kweli?Ethiopia iache kiburi maana haina uwezo wa kuikabili misri kijeshi itakuja kuharibiwa vibaya sana.
Ije kutujazia wakimbizi apa.
Huijui Ethiopia wewe!Ethiopia iache kiburi maana haina uwezo wa kuikabili misri kijeshi itakuja kuharibiwa vibaya sana.
Ije kutujazia wakimbizi apa.
Huu mto una maslahi ya nchi nyingi sio Ethiopia na misri tuu!! Misri asilete ubabe wa kijinga...akae mezan wazungumze na nchi wote washirika
Shaw mbona tunam-underrate sana. Anaweza sana kugongeana ujue. Yupo poor kwenye marking tuu, lakini ana speed na anaweza ile gongagongaKwa quality ya James inabidi aondoke United au abadilishwe kama unavyosema awe RB na akomazwe kweli kweli..Telles ana delivery za hatari sana Shaw asubiri,so LB hakuna shida labda Ole azidishe mahaba kwa Shaw asiyeweza kupiga krosi.
Kimsingi hiki kikosi Ole ashindwe yeye tu kupata best of it..
Wewe ndo kabisaHuo Mto mwenye mamlaka nao ni Ethiopia, Egypt anapswa kuwa mpole.
Ina maana na sisi huku tukitaka kuwekeza/kutumia kiasi kikubwa cha maji kwenye Ziwa Victoria Misri atatuvimbishia misuli?.