Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
This is a message to Mhando wa Tanesco.
Naona haya mambo ya chemba naona hayafanyi kazi kwako sasa naona bora niende public na wa Tanzania na dunia ijue.
Kama hujaingia JF basi nina hakika Badra Masoud ataufikisha huu ujumbe kwa bosi wake. Na kama Mhando unasoma huu ujumbe nakuomba uache ku behave kama Mhuni na uache kuleka taarifa za uwongo kwa wafuatao kwani unachokifanya ni hatari kwani hawa watakuona kuwa uko honest ili hali wewe unawapa taarifa za uwongo.
Pia nakushauri uache kupeleka taarifa za uwongo kwa:
Mheshimiwa rais
Waziri Mkuu
Katibu Mkuu Kiongozi
Mwanasheria mkuu wa serikali
Waziri wa Nishati
Katibu Mkuu (Waziri Mkuu)
Acha huu upuuzi unaoufanya na kuhamisha goal posts. Taifa liko kwenye wakati mgumu sana kiuchumi na maendeleo yana kwama kwa sababu ya matatizo ya umeme sasa wewe umeamua kutumia muda wako mwingi kuhamisha lawama kwa wengine wakati unajua fika kuwa at the end of the day kuwa mwananchi wa kawaida anataka umeme toka TANESCO!
Bwana Mhando if you cant take the heat stay out of the kitchen na submit resignation yako kuliko kukaa na kuwamislead waTanzania na kupoteza muda mwingi kwenye vikao vya kutaka kuwapaka matope wenzako wakati wewe ndio kizingiti kikubwa kwenye hili sakata la umeme.
In short wana JF Mhando ukweli na uadilifu wa Mhando ushaanza kuwa questioned kwenye vikao baada ya kutuma barua zaidi ya 6 zenye maelezo tofauti juu ya utatuzi wa tatizo la umeme.
Naona haya mambo ya chemba naona hayafanyi kazi kwako sasa naona bora niende public na wa Tanzania na dunia ijue.
Kama hujaingia JF basi nina hakika Badra Masoud ataufikisha huu ujumbe kwa bosi wake. Na kama Mhando unasoma huu ujumbe nakuomba uache ku behave kama Mhuni na uache kuleka taarifa za uwongo kwa wafuatao kwani unachokifanya ni hatari kwani hawa watakuona kuwa uko honest ili hali wewe unawapa taarifa za uwongo.
Pia nakushauri uache kupeleka taarifa za uwongo kwa:
Mheshimiwa rais
Waziri Mkuu
Katibu Mkuu Kiongozi
Mwanasheria mkuu wa serikali
Waziri wa Nishati
Katibu Mkuu (Waziri Mkuu)
Acha huu upuuzi unaoufanya na kuhamisha goal posts. Taifa liko kwenye wakati mgumu sana kiuchumi na maendeleo yana kwama kwa sababu ya matatizo ya umeme sasa wewe umeamua kutumia muda wako mwingi kuhamisha lawama kwa wengine wakati unajua fika kuwa at the end of the day kuwa mwananchi wa kawaida anataka umeme toka TANESCO!
Bwana Mhando if you cant take the heat stay out of the kitchen na submit resignation yako kuliko kukaa na kuwamislead waTanzania na kupoteza muda mwingi kwenye vikao vya kutaka kuwapaka matope wenzako wakati wewe ndio kizingiti kikubwa kwenye hili sakata la umeme.
In short wana JF Mhando ukweli na uadilifu wa Mhando ushaanza kuwa questioned kwenye vikao baada ya kutuma barua zaidi ya 6 zenye maelezo tofauti juu ya utatuzi wa tatizo la umeme.