Naku pm mchumbaNipm tuende bega kwa bega,ila uwe na cheti cha ubatizo
Usimuunganishe, tayari mie nipoKuna mtt wa kirusi hapa..Nikuunganishie?
Nami kwakweli ningeipokea kwa mikoni saba.Kwa hii kauli bado ungekuwa wangu ningekupa talaka hadi ya masikio
haya haina maproblemaa!Nimeokoka baby girl,ila kama we mpagani nipo tayari kuwa mpagani,nakupenda Fanya basi tuwe Alfa na omega
Bibi changamkia fursa hiyohaya haina maproblemaa!
babu atosha!Bibi changamkia fursa hiyo
Kumbe viol ni miongoni mwa wale watatu unaowapenda?Usimuunganishe, tayari mie nipo