Bw. Kinana ni Ushahidi Tosha...

Kijakazi

JF-Expert Member
Jun 26, 2007
6,398
8,885
Bw.Kinana ni ushahidi wa kutosha kabisa kwamba sisi Wabantu ni wavivu yaani sio watu wakujituma, sio wachapa kazi!
Bw.Kinana asili yake Msomali na SIYO Mmbantu. Ufanyaji kazi na Uhodari wake uko dhahiri ikilinganishwa na Viongozi wengine (Wabantu wenzetu) waliowahi kushika wadhifa kama Wake hapo nyuma.

Angalia kila siku utasikia yuko hapa, yuko kijiji kile anajenga Shule hapa na unamuona akishika Matofali akichimba Mifereji, wakati wengine (Wabantu wenzetu) utawaona wakishika Mikrofoni tu na kupiga domo lkn sijawahi kuwaona wakibeba Tofali au kuchimba mifereji na Wananchi Vijijini...Hivyo hiyo ndiyo sababu kwa nini sisi (Wabantu)hatuna maendeleo kama kuna Mtu alikuwa anatafuta sababu!
 
kijakazi wa II,usiusemee moyo,kuna wabantu tunafanya kazi sana ,huyo anazunguka vijini kwa ajili ya kumpoza bosi wake ili apate kula yake si kwa sababu anawapenda sana sisi wabantu wenzako.
 
sure mkuu, jamaa asili yake ya kisomali ndo inamfanya awe haramia kwenye meno ya Tembo
 
Sitaki kuhoji hoja yako uko sawa kwa kiasi kikubwa kuhusu kinana lakini pia wapo wabantu wako nondo kama jk na magufuli.
 
Bw.Kinana ni ushahidi wa kutosha kabisa kwamba sisi Wabantu ni wavivu yaani sio watu wakujituma, sio wachapa kazi!
Bw.Kinana asili yake Msomali na SIYO Mmbantu. Ufanyaji kazi na Uhodari wake uko dhahiri ikilinganishwa na Viongozi wengine (Wabantu wenzetu) waliowahi kushika wadhifa kama Wake hapo nyuma.

Angalia kila siku utasikia yuko hapa, yuko kijiji kile anajenga Shule hapa na unamuona akishika Matofali akichimba Mifereji, wakati wengine (Wabantu wenzetu) utawaona wakishika Mikrofoni tu na kupiga domo lkn sijawahi kuwaona wakibeba Tofali au kuchimba mifereji na Wananchi Vijijini...Hivyo hiyo ndiyo sababu kwa nini sisi (Wabantu)hatuna maendeleo kama kuna Mtu alikuwa anatafuta sababu!

Kaka au Dada kama wewe ni mvivu kiasi kwamba ni Kinana anayeisimamia kukimu familia yako; basi nakiri wewe huna sifa ya kuitwa Baba au Mama.
Kama Wasomali ni wachapa kazi unaijua GDP ya Somalia? Ujangili, Kuuza mirungi na ughaidi wa kuua watu; watoto na kina mama wasio na hatia ndio tafsiri yako ya wachapa kazi?!
Umewahi kufika Mogadishu ukaona mji mkuu wa wachapa kazi wako ulivyo na hali ya maisha ya msomali?! wacha hizo. no research no right to speak. BS
You luck self confidence sasa unaproject udhaifu wako kwa Wabantu wote! what a shame; shindwa na ulegee!
 
Ni kweli kabisa siyo SIRI, Wasomali ni Wachapakazi si kawaida.....

3+Rage+akipambana+na+Chadema+A.jpg


Page%2B1.jpg
rage270308.JPG
 
Kaka au Dada kama wewe ni mvivu kiasi kwamba ni Kinana anayeisimamia kukimu familia yako; basi nakiri wewe huna sifa ya kuitwa Baba au Mama.
Kama Wasomali ni wachapa kazi unaijua GDP ya Somalia? Ujangili, Kuuza mirungi na ughaidi wa kuua watu; watoto na kina mama wasio na hatia ndio tafsiri yako ya wachapa kazi?!
Umewahi kufika Mogadishu ukaona mji mkuu wa wachapa kazi wako ulivyo na hali ya maisha ya msomali?! wacha hizo. no research no right to speak. BS
You luck self confidence sasa unaproject udhaifu wako kwa Wabantu wote! what a shame; shindwa na ulegee!

Nimekusaidia kukopia Vizuri kwa Maana najua utaona Uvivu na hautasoma Habari yote!
Kumbuka tunaongelea nchi ambayo haina hata serikali na iko Vitani kwa Miaka karibu Ishirini, Watu wanaoishi chini ya Dola 1/ siku ya kimarekani Somalia ni 43% wakati sisi kwetu ni zaidi ya asilimias 68%...


The Central Bank of Somalia indicates that the country's GDP per capita is $333, which is lower than that of Kenya at $350, but better than that of Tanzania at $280 as well as Eritrea at $190 and Ethiopia at $100. About 43% of the population live on less than 1 US dollar a day, with about 24% of those found in urban areas and 54% living in rural areas.[SUP][4][/SUP] As with neighboring countries, Somalia's economy consists of both traditional and modern production, with a gradual shift in favor of modern industrial techniques taking root. According to the Central Bank of Somalia, about 80% of the population are nomadic or semi-nomadic pastoralists, who keep goats, sheep, camels and cattle. The nomads also gather resins and gums to supplement their income.[SUP][4][/SUP]
Agriculture is the most important economic sector. It accounts for about 65% of the GDP and employs 65% of the workforce.[SUP][7][/SUP] Livestock contributes about 40% to GDP and more than 50% of export earnings.[SUP][3][/SUP] Other principal exports include fish, charcoal and bananas; sugar, sorghum and corn are products for the domestic market.[SUP][9][/SUP] According to the Central Bank of Somalia, imports of goods total about $460 million per year, and have recovered and even surpassed aggregate imports prior to the start of the civil war in 1991. Exports, which total about $270 million annually, have also surpassed pre-war aggregate export levels but still lead to a trade account deficit of about $190 million US dollars per year. However, this trade deficit is far exceeded by remittances sent by Somalis in the diaspora, which have helped sustain the import level.[SUP][4][/SUP]
With the advantage of being located near the Arabian Peninsula, Somali traders have increasingly begun to challenge Australia's traditional dominance over the Persian Gulf Arab livestock and meat market, offering quality animals at very low prices. In response, Persian Gulf Arab states have started to make strategic investments in the country, with Saudi Arabia building livestock export infrastructure and the United Arab Emirates purchasing large farmlands.[SUP][10][/SUP] Somalia is also a major world supplier of frankincense and myrrh.[SUP][11][/SUP] Additionally, fishing fleets from Europe and Asia have reached commercial fishing agreements in the northern Puntland region.[SUP][8][/SUP]
 
Bw.Kinana ni ushahidi wa kutosha kabisa kwamba sisi Wabantu ni wavivu yaani sio watu wakujituma, sio wachapa kazi!
Bw.Kinana asili yake Msomali na SIYO Mmbantu. Ufanyaji kazi na Uhodari wake uko dhahiri ikilinganishwa na Viongozi wengine (Wabantu wenzetu) waliowahi kushika wadhifa kama Wake hapo nyuma.

Angalia kila siku utasikia yuko hapa, yuko kijiji kile anajenga Shule hapa na unamuona akishika Matofali akichimba Mifereji, wakati wengine (Wabantu wenzetu) utawaona wakishika Mikrofoni tu na kupiga domo lkn sijawahi kuwaona wakibeba Tofali au kuchimba mifereji na Wananchi Vijijini...Hivyo hiyo ndiyo sababu kwa nini sisi (Wabantu)hatuna maendeleo kama kuna Mtu alikuwa anatafuta sababu!

Ushahidi mwingine kwamba wabantu ni wavivu hata kufikiri ni huu uharo ulioandika hapa, hivi kama mtu anapita zake amekula posho anakuta mafundi wanajenga na yeye anabeba tofali kwa ajili ya picha huu ndio uchapa kazi? kweli nchi hii tuna matatizo, alafu unakaa unaandika kwamba kinana anachapa kazi? Kinana angefanya kazi hata robo ya kazi aliyoifanya dr Slaa tangia 2010 mpaka leo sijui mngesema nini! hebu shirikisha kwanza ubongo wako kabla haujaandika chochote hapa jf
 
Kijakazi wa II, Please be informed kuwa Bantu, Nilotic Bantu, Kushi wote sisi asili yetu ni moja tu! Uchapaji kazi uko kwa mtu mwenyewe na si jamii anayotoka mhusika!... Kweli kinana ni mchapakazi lakini hata Dr Kleruu, Kiwelu, Nswilo Swai, Dr.Kimei, Dr Rashid, Sokoine, Karume, Salim, Lowassa, Lyatonga Mrema na Mwalimu JKN walikuwa ni wachapakazi wazuri sana waliowahi kutokea katika taifa hili..
 
Ushahidi mwingine kwamba wabantu ni wavivu hata kufikiri ni huu uharo ulioandika hapa, hivi kama mtu anapita zake amekula posho anakuta mafundi wanajenga na yeye anabeba tofali kwa ajili ya picha huu ndio uchapa kazi? kweli nchi hii tuna matatizo, alafu unakaa unaandika kwamba kinana anachapa kazi? Kinana angefanya kazi hata robo ya kazi aliyoifanya dr Slaa tangia 2010 mpaka leo sijui mngesema nini! hebu shirikisha kwanza ubongo wako kabla haujaandika chochote hapa jf

Hiyo SIYO ishu kila Mtu anajua kwamba Bw.Kinana hashindi kutwa nzima hapo akichimba Mitaro na kujenga Shule na Wananchi, ila anachokifanya kinawapa Moyo Wananchi ambao wanafanya hiyo kazi, kwani Bw.Slaa amefanya kazi gani unayoiongelea wewe? Si uiseme sasa? Sijawahi kumuona akishika tofali wala Jembe kuhamasisha Wananchi, bora ungeniambia hata Bw.Lema ningekubali nimemuona mara nyingi akihamasisha Watu kwa Vitendo, hata dogo Mbunge wa Arumeru Mashariki (nimemsahau jina lake) pia nimeshamuona akifanya kazi na Wananchi, Bw.Slaa nimemuona akishika Mikrofoni tu tena mbili na kuongea...

 
Dah mkuu huyu jamaa anamaliza rasilimali zetu bado unampa sifa hizi hakika utakua kijana walumumba
 
Huyu ni punda nyuma ya mkokoteni.hana ubavu wa kuisimamia serikali.mfano ni aibu kwenye mawaziri mizigo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom