Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa imefanya ubabaishaji katika mchakato wa kupata wanaostaili kufanya kazi ya BVR baada ya kutoa tangazo la nafasi ya kazi hii kinyemela na kutoelekeza waombaji kuambatanisha vyeti vyao vya it kama halmashauri nyingine zilivyo fanya.
Hili limepelekea kuwaacha watu wengi wenye sifa za kufanya kazi, Wilaya hii ubabaishaji umechukua nafasi kubwa sana kuliko utaalamu.
Jambo hili limesha itia serikali hasara kwakuwa mara ya kwanza ulifanyika ubabaishaji katika zoezi la vitambulisho vya Taifa wakatumia watu hawa hawa ambao baadhi yao bado wapo hatua ya kutumia penseli wakaboronga leo hii mchakato unarudiwa.
Tutafika?
Hili limepelekea kuwaacha watu wengi wenye sifa za kufanya kazi, Wilaya hii ubabaishaji umechukua nafasi kubwa sana kuliko utaalamu.
Jambo hili limesha itia serikali hasara kwakuwa mara ya kwanza ulifanyika ubabaishaji katika zoezi la vitambulisho vya Taifa wakatumia watu hawa hawa ambao baadhi yao bado wapo hatua ya kutumia penseli wakaboronga leo hii mchakato unarudiwa.
Tutafika?