Ok habari zenu...
Ninajua sikuhizi unaweza kuship na kununua vitu online to Tanzania BUT! i have some questions kwa watu waliokuwa experienced navyo..Ukinunua e.g A DVD from Ebay or anysite which ships to Tanzania ukichagua Airmail or Economy airmail inafika baada ya siku ngapi? na sikuhizi hawaibi tena au?
"Naomba ajibu mtu aliokuwa ameshawahi kuship sio unanijibu wakati haujawahi kuagiza kitu online...."
Ninajua sikuhizi unaweza kuship na kununua vitu online to Tanzania BUT! i have some questions kwa watu waliokuwa experienced navyo..Ukinunua e.g A DVD from Ebay or anysite which ships to Tanzania ukichagua Airmail or Economy airmail inafika baada ya siku ngapi? na sikuhizi hawaibi tena au?
"Naomba ajibu mtu aliokuwa ameshawahi kuship sio unanijibu wakati haujawahi kuagiza kitu online...."