Rich Dad
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 748
- 133
Wadau hili ni jukwaa ambalo unaweza ukaweka ideas zako zozote za kibiashara, ambapo hata kama wewe utashindwa kuifanya inawezekana ukamwezesha mwezio ambaye ana capital lakini hana idea.
Hivyo basi kuna hili jambo ambalo nimekuwa nikilifikiria kwa muda mrefu ambalo nadhani linaweza kufanyika ili ku-improve biashara ambazo labda zipo zinaendelea ila mimi sijui.
Nianze kwa kuwapatia utangulizi:
Tanzania bado tuna uhaba mkubwa wa vitabu vyuoni, na hasa elimu ya juu ...hivyo hii biashara imetarget zaidi vyuo. Uhaba wa vitabu unatokana na gharama za vitabu vyenyewe na wakati mwingine upatikanaji wa vitabu vyenyewe unakuwa mgumu.
Hivyo hii biashara inaeza kufanyika kwa mfumo wa kutengeneza online bookstore ambayo itawezesha kuwakutanisha Buyers na Sellers wa ndani ya Tanzania tu!, Sellers anaweza kuwa mtu yeyote ambaye anataka kuuza kitabu chake ambacho kakitumia kwa muda na akihitaji tena kwa wakati huo. Buyers watakuwa ni wanafunzi ambao wanahitaji baadhi ya vitabu ambavyo huenda hawapo kwenye position ya kununua kwa wakati huo.
Siku za mwanzo inabidi kufanya promotion ya nguvu maeneo ya vyuo ...na kwa kuanzia nadhani ni hapahapa dar es salaam. Wanafunzi waliopo mwaka wa mwisho wenye kumiliki vitabu ni rahisi kukuuzia kama utawapa bei nzuri, then nawe unakuja kuwauzia wale wanohitaji kwa bei juu kidogo but ya chini compared na kitabu kipya.
NB: - Kuna watakao beza kwa kusema hii idea ni sawa na kinachofanyika amazon.com, but jiulize ni watanzania wangapi wanaotumia facility za amazon?
- Challenge nyingine kwenye biashara hii ni kutokana na iledhana iliyojengeka kwamba...ukitaka kumfumba kitu mtanzania weka kwenye maandishi
- Changamoto nyingine ni kwamba watu wengi huwa wana-violate copyrighting rules kwa kutoa photocopy au kuscan bila permission ya mtunzi.
Yeyote mwenye mchango ambao ni constructive anakaribishwa kuchangia.
Hivyo basi kuna hili jambo ambalo nimekuwa nikilifikiria kwa muda mrefu ambalo nadhani linaweza kufanyika ili ku-improve biashara ambazo labda zipo zinaendelea ila mimi sijui.
Nianze kwa kuwapatia utangulizi:
Tanzania bado tuna uhaba mkubwa wa vitabu vyuoni, na hasa elimu ya juu ...hivyo hii biashara imetarget zaidi vyuo. Uhaba wa vitabu unatokana na gharama za vitabu vyenyewe na wakati mwingine upatikanaji wa vitabu vyenyewe unakuwa mgumu.
Hivyo hii biashara inaeza kufanyika kwa mfumo wa kutengeneza online bookstore ambayo itawezesha kuwakutanisha Buyers na Sellers wa ndani ya Tanzania tu!, Sellers anaweza kuwa mtu yeyote ambaye anataka kuuza kitabu chake ambacho kakitumia kwa muda na akihitaji tena kwa wakati huo. Buyers watakuwa ni wanafunzi ambao wanahitaji baadhi ya vitabu ambavyo huenda hawapo kwenye position ya kununua kwa wakati huo.
Siku za mwanzo inabidi kufanya promotion ya nguvu maeneo ya vyuo ...na kwa kuanzia nadhani ni hapahapa dar es salaam. Wanafunzi waliopo mwaka wa mwisho wenye kumiliki vitabu ni rahisi kukuuzia kama utawapa bei nzuri, then nawe unakuja kuwauzia wale wanohitaji kwa bei juu kidogo but ya chini compared na kitabu kipya.
NB: - Kuna watakao beza kwa kusema hii idea ni sawa na kinachofanyika amazon.com, but jiulize ni watanzania wangapi wanaotumia facility za amazon?
- Challenge nyingine kwenye biashara hii ni kutokana na iledhana iliyojengeka kwamba...ukitaka kumfumba kitu mtanzania weka kwenye maandishi
- Changamoto nyingine ni kwamba watu wengi huwa wana-violate copyrighting rules kwa kutoa photocopy au kuscan bila permission ya mtunzi.
Yeyote mwenye mchango ambao ni constructive anakaribishwa kuchangia.