Buy HD premium Receiver: The best MPEG4 receiver with Free IPTV For Bein Sports & 1year TV1 CCcam

Mahitaji yangu ni Channel za tanzania pekee mfano Sibuka TV,Clouds TV,TVI Mlimani TV,DTV,Star TV,Channel ten,ITV,TBC nk. hayo ya mpira si mpenzi.Nihakikishie hayo nikusake

Ndio kama nilivosema unapata FTA kibao tu kulingana na dish

Kwa dish dogo kabisa kama lile la DSTV 2.5/3ft utapata Continental channel zao

Emu tazama hii list afu nambie channel zipi zimekosa



11099 V






Tony G
141023
11139 V

East-West


Continental TVDVB-S230000-?
QPSK

F Orwa
140901

.
Star TV (Tanzania) 1 52 54 E
ITV (Tanzania) 2 68 70 E
EATV 5 3 84 86 E
Capital TV (Tanzania) 4 100 102 E
TBC 1 5 116 118 E/Sw
Channel Ten 6 132 134 E
Star Muzik
7 148 150 E
Citizen TV
9 180 182 E
DW
10 196 198 E
France 24 English
11 212 214 E
Clouds TV 12 228 230
VoA TV Africa 13 244 246 E
BBC World News Africa 14 260 262 E
CCTV 9 Documentary 15 276 278 E
Star E +
16 292 294 E
Hope Channel Africa
17 308 310 E
Emmanuel TV
18 324 326 E
Africa TV 2
19 340 342 Sw
Star Bunge TZ
20 356 358
Al Jazeera English
21 372 374 E
AIT Sports 22 388 390 E
Star Movies +
23 404 406 E

 
Qsat/Xmaster/AZSKY/HD Premium/Strong decoders service account renewal

AcamHD Code 47 is 80,000/= 1yr DSTV

AZSKY Account is 35,000/=

TV1 CCcam 1yr DSTV 100,000/= [Recomended]

TV1 CCcam 3Months DSTV is 55,000/=[Popular package]

A1 CCcam 1yr DSTV Is 90,000/=[Canalsat to be added as of 15 Dec]

A1 CCcam 6Months DSTV only 60,000/=

a1.png

N:B Wengi watauliza tofauti ya A1 na TV1 Tofauti zipo nyingi sana ya kwanza ikiwa ni kwamba A1 wame "ahidi" kuweka canalsat mwezi huu 15 Dec 2014 na kwenye DSTV washaanza na wako poa
Lakini ni muhimu kuwa makini A1 ni server mpya hamna mwenye uhakika kama ita survive miaka miwili kama ilivo TV1 yasije kuwa kama yale ya SAT1 CCcam imeingia sokoni

Contacts +255753932250
 
id3G modem namemodem idsupported
1E173Huawei E173TRUE
2K3765Vodafone K3765TRUE
3E153Huawei E153TRUE
4E372TRUE
5K3770Vodafone K3770TRUE
6E180Huawei E180/E180GTRUE
7k3773Huawei Vodafone K3773TRUE
8E398Huawei E398TRUE
9E303Huawei E303TRUE
10E176GHuawei E176TRUE
11E220TRUE
12E1550TRUE
13E177TRUE
14E3131TRUE
15EC1752TRUE
16E367u-2TRUE
17E1750TRUE
18LS100TRUE
 

Attachments

  • 3G Data Card list.xlsx
    11.5 KB · Views: 44
Mkuu mimi nina decoder ya Humax kutoka abudhabi, nyungo 2 wa futi 6 na mdogo wa dstv, siwezi pata huo mpango?
 
Ndio inashika zile za Ting za FTA ingia Lyngsat kuziona kama hauzioni sema nikuwekee picha...

Za Azam zimefungwa karibu zote hivo haiwezzi

Dish la Azam ndio unaweza kulitumia Kushika DSTV

Je miye ni nipo Bukoba natumia qsat japo wakati mwingine channel za DSTV zinascramble naweza kufaidika na hudma hiyo bila zengwe au ni maboresho gani nifanye natumia line ya vodacom
 
Mkuu mimi nina dish ya dstv na nilishanunua donga zile mara mbili na zote zimescramble, je unanihakikishia vipi kuwa sitaliwa pesa yangu? Nipo kigali natarajia kurudi jtatu na namba yako nimeshaisave ili nikutafute
 
Je miye ni nipo Bukoba natumia qsat japo wakati mwingine channel za DSTV zinascramble naweza kufaidika na hudma hiyo bila zengwe au ni maboresho gani nifanye natumia line ya vodacom

Nijibu upo Bukoba ipi?
Misenyi,Bugabo au wapi?

Kama ni Bukoba mjini tumia Modem ya 3G

Lkn sahau kuhusu AvatacamHD kwa sasa lazima ununue CCcam iwapo unataka kufaidi
 
Mkuu mimi nina dish ya dstv na nilishanunua donga zile mara mbili na zote zimescramble, je unanihakikishia vipi kuwa sitaliwa pesa yangu? Nipo kigali natarajia kurudi jtatu na namba yako nimeshaisave ili nikutafute

Zitaje hizo dongle nione kama zinawekwa CCcam...

Kwa sasa Technolojia ya kuaminika na itakayo survive Upgrades za kila kukicha ni TV1 CCcam pekee

Leo DSTV wame upgrade lkn TV1 bado ina shine kama kawaida yake hivo hii kitu ya TV1 CCcam ni balaa ni wewe uwe na 3G Modem tu unakula maisha bila wasi wasi

Ma engineer pekee wanaojua chakachua DSTV bila magumashi na Future guarantee ya kuendelea kuona DSTV bila pressure ni TV1 CCcam pekee

Mwaka mzima bei yake 100,000/= unakula DSTV kama umelipia Premium vile
 
zitaje hizo dongle nione kama zinawekwa cccam...

Kwa sasa technolojia ya kuaminika na itakayo survive upgrades za kila kukicha ni tv1 cccam pekee

leo dstv wame upgrade lkn tv1 bado ina shine kama kawaida yake hivo hii kitu ya tv1 cccam ni balaa ni wewe uwe na 3g modem tu unakula maisha bila wasi wasi

ma engineer pekee wanaojua chakachua dstv bila magumashi na future guarantee ya kuendelea kuona dstv bila pressure ni tv1 cccam pekee

mwaka mzima bei yake 100,000/= unakula dstv kama umelipia premium vile

nimekusoma mkuu nipo safarini rwanda mungu akipenda nitakutafuta nikirudi jtatu mungu akipenda
 
This weekend goods ready for dispatch to every corner of DSM and evry part of TZ

For those with renewal problems of their receivers

TV1 CCcam 1yr DSTV 100.000/=

tv1 CCcam 3month DSTV 55,000/=
 
Swali langu lipo clear kbs bro.. vp kwa maeneo yenye 2G huduma hyo yaweza kupatikana... kumbuka makao makuu ya wilaya ndo mjini kwtu tulio vijijini na c miji ya wilaya zote ina access ya 3g ni baadhi tu.
 
Meanwhile 230,000/= unakula DSTV bure
Mimi natumia explora ya DSTV na ninalazimika kulipia 159,000 kila mwezi ili kuona HD channels zao, sasa hii ya 230 kwa mwaka, itaniwezesha kuziona channels zote za DSTV including full HD?!. Baada ya kununua hiyo ya kwako, jee hiyo decoder yangu ya explora ina kazi tena au ndio ya kutupa?, maana imenitoka 960,000 kwa decoder tuu?!.

Receive yangu ya explore ina extra view ya TV 3, jee hii option yako in a extra view?, au ndio kurudi yale mambo ya kizamani, sitting room decoder, living room decoder na rooms na decoder zake?.

Pasco
 
Ndio DSTV unaweza kuishika na dish size lolote 2.5ft na 3ft ndo ukubwa wa dish zilizo zoeleka

Hivo wewe unaitaji tu modem na HD premium receiver ili uanze kuburudisha familia kwa channel 200 za DSTV

Mimi natumia explora ya DSTV na ninalazimika kulipia 159,000 kila mwezi ili kuona HD channels zao, sasa hii ya 230 kwa mwaka, itaniwezesha kuziona channels zote za DSTV including full HD?!. Baada ya kununua hiyo ya kwako, jee hiyo decoder yangu ya explora ina kazi tena au ndio ya kutupa?, maana imenitoka 960,000 kwa decoder tuu?!.

Receive yangu ya explore ina extra view ya TV 3, jee hii option yako in a extra view?, au ndio kurudi yale mambo ya kizamani, sitting room decoder, living room decoder na rooms na decoder zake?.

Pasco

Mkuu hii ni receiver ya kawaida sidhani kama wewe mtumiaji wa HD ambayo unaweza ku rewind masaa mawili yaliyopita na ukaona kitu kilichokupita....Hizi hautoziweza

Ila kwa maelezo/maitaji yako hii sidhani kama itakufaa

Channel list nimeweka kwenye attachment post #1
 
Swali langu lipo clear kbs bro.. vp kwa maeneo yenye 2G huduma hyo yaweza kupatikana... kumbuka makao makuu ya wilaya ndo mjini kwtu tulio vijijini na c miji ya wilaya zote ina access ya 3g ni baadhi tu.


Lipo clear kweli lkn na mm request yangu ipo clear kabisa hata kama sio kwenye public basi kwa PM waweza kusema upo wapi?

Na ndugu yangu amefunga minara ya 3G karibia kila corner ya Tanzania hivo ukinambia itaniwia rahisi kumuuliza kama kuna 3G maana mm nimeishi kijijini miaka miwili bila kugundua kama eneo lina 3G mpaka mwenzangu aliponipa mautundu ya Ku force modem isome 3G only


Kwa sasa niko Dar siwezi conclude kama 2G inakubali maana tuna 2G mtandao mmoja huku Dar ambao ni BOL/SMart ambao ni 3G mikoani mingine

kuna Receiver zinasupport GPRS NETWORK ndo zitakufaa alternatively
 
Back
Top Bottom