Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Mahabusu wawili na mfungwa mmoja wamefariki Dunia walipokuwa wakipatiwa matibabu, baada ya kushushiwa kichapo na wananchi kufuatia jaribio la kutaka kutoroka katika gereza kuu la Butimba mkoani Mwanza.