comred
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 1,867
- 1,602
Kwa hiyo nyie mnafurahia tukiibiwaa
Tulia wewe Mkulu kashasema tutakaanao mezani hao Wezii wetu..
Hahahaaa..
Kwa hiyo nyie mnafurahia tukiibiwaa
Si Lissu tu bali hata Prof. Baregu na Prof. Safari. Maoga kwa Mbowe hakuna mfano, utafikiri Mbowe ndie Professa na wao ni form 6 leavers tu. Kumbe the reverse applies. Mara baada ya Uchaguzi Mkuu (2015) nilibahatika kukutana na mmoja na kisha kumshauri wamwambie Mbowe ajiuzulu ili wasaidie chama chao kupata new bearing na kusonga mbele na mazingira mapya ya kisiasa. Doh, jamaa aliniambia kuwa Mbowe hakutaka kusikia jambo hilo na iwapo angethubutu kushauri hivyo Mbowe ange-engineer afukuzwe uanachama. Nilishangaa! Hii ni true story just from the horse's mouth.
Siyo lisu tu adi profesa balimi/safariMzee KANENA.. Mfano pale Chadema wasomi wanamuogopa sana Mbowe, mpaka Tundu Lisu anamuogopa Mbowe
Ile mbayaMzee mnafiki
Kama Tundu Lissu angekuwa jasiri angekataa kula matapishi yake.
Jasiri amepiga porojo kwa miaka minane halafu unakuja kuanza kutuuzia mtu ambaye alikuwa anatuambia ni fisadi na hafai hata kuchukua fomu ya kugombea Urais.
View attachment 523019
HAYA MAJAAMAA YAPOKONYWE URAIA WA NCHI YETUKama Tundu Lissu angekuwa jasiri angekataa kula matapishi yake.
Jasiri amepiga porojo kwa miaka minane halafu unakuja kuanza kutuuzia mtu ambaye alikuwa anatuambia ni fisadi na hafai hata kuchukua fomu ya kugombea Urais.
View attachment 523019
Tobo lisu ni mnafiki siyo jasili. Angekuwa jasili angesimamia msimamo wake wa kumkataa Lowasa asigombee kupitia cdm. Au kama chama kingemkubali Lowasa kugombea Urais Lisu angeonyesha msimamo wake wa kutomkubali hivyo asingempigia kampeni...jasiri siyo huyu.
..jasiri ni mtu kama Tundu Lissu.
..akiwa kijana hana miaka mingi tangu amalize chuo kikuu alisimama kidete kutetea rasilimali zetu zisiibiwe.
..huyu mnayemuita jasiri alijificha miaka zaidi ya 15 huku madini yakiporwa.
Mnajaribu kutibu majeraha, poleni. NYIE Lumumba ndio chanzo cha yote yanayoipata nji hii katika madini. Ripoti ya tume yenu wenyewe mlokuwa mwaisubiri kwa bashasha imeyaweka vizuri sana wapi tulipojikwaa kama nchi.Si Lissu tu bali hata Prof. Baregu na Prof. Safari. Maoga kwa Mbowe hakuna mfano, utafikiri Mbowe ndie Professa na wao ni form 6 leavers tu. Kumbe the reverse applies. Mara baada ya Uchaguzi Mkuu (2015) nilibahatika kukutana na mmoja na kisha kumshauri wamwambie Mbowe ajiuzulu ili wasaidie chama chao kupata new bearing na kusonga mbele na mazingira mapya ya kisiasa. Doh, jamaa aliniambia kuwa Mbowe hakutaka kusikia jambo hilo na iwapo angethubutu kushauri hivyo Mbowe ange-engineer afukuzwe uanachama. Nilishangaa! Hii ni true story just from the horse's mouth.
They have no exact locus in politics!That will forever dog them.....
Tobo lisu ni mnafiki siyo jasili. Angekuwa jasili angesimamia msimamo wake wa kumkataa Lowasa asigombee kupitia cdm. Au kama chama kingemkubali Lowasa kugombea Urais Lisu angeonyesha msimamo wake wa kutomkubali hivyo asingempigia kampeni.
Kumbuka Lisu alivyosimamia show ya kumtukana Lowasa akiwa ccm na alivyojiunga cdm akamuona ni msafi na shujaa. Hapo tu ndipo nilipomdharau Tobo Lisu.
HahaaaTulia wewe Mkulu kashasema tutakaanao mezani hao Wezii wetu..
Hahahaaa..
Hawa ndiyo wanafiki wakubwa kabisa nchi hiiKama Tundu Lissu angekuwa jasiri angekataa kula matapishi yake.
Jasiri amepiga porojo kwa miaka minane halafu unakuja kuanza kutuuzia mtu ambaye alikuwa anatuambia ni fisadi na hafai hata kuchukua fomu ya kugombea Urais.
View attachment 523019
Mkuu akina Dr Slaa sijui wana fit wapi...jasiri siyo huyu.
..jasiri ni mtu kama Tundu Lissu.
..akiwa kijana hana miaka mingi tangu amalize chuo kikuu alisimama kidete kutetea rasilimali zetu zisiibiwe.
..huyu mnayemuita jasiri alijificha miaka zaidi ya 15 huku madini yakiporwa.
Hawa jamaa wote hivi sasa wanafiki sanaKama Tundu Lissu angekuwa jasiri angekataa kula matapishi yake.
Jasiri amepiga porojo kwa miaka minane halafu unakuja kuanza kutuuzia mtu ambaye alikuwa anatuambia ni fisadi na hafai hata kuchukua fomu ya kugombea Urais.
View attachment 523019
Watu wengine akili hamna. Watu wanafanya fujo bungeni wanawashambulia askari wa bunge mnasema wanatetea madini?Mkuu akina Dr Slaa sijui wana fit wapi.
Kuna Zitto Kabwe alitupwa nje ya Bunge akiwa kijana mdogo tu, aliyosimamia ndiyo leo yanaonekana taarifa mpya kabisa, wengine walikuwa kimyaaa!
Hivi nani mwenye uthubutu, aliyejaribu au wanaosubiri miaka 15 baadaye?
Nadhani kuna ukweli , uthubutu wa akina Slaa na Zitto ni wa miaka mingi, umeoza
Tunaongelea uthubutu unaoiva sasa. Right!