Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
Bubu naomba ufafanuzi kidogo ... wananchi wana uwezo wa kusimamisha marupurupu yake? How? Jeuri ya wananchi iko wapi? Kwenye sanduku la kura? Yaani mpaka 2010 ndipo tumuonyeshe jeuri? Je wadanganyika wakinunuliwa na pilau ya RA tena?
Kuna kila dalili kwamba kutakuja kutokea aina fulani ya hawa viongozi waliopita mmoja wao akanyang'anywa mali zote alizopata wakati akiwa rais si mwingine ni huyu huyu Mzee wa Lupaso Mkapa. Amejaa kiburi cha ajabu sana.