Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Asante sana Keil kwa hii barua.
Badala ya kumjibu vizuri mwenyekiti huyo, ambaye pia alikuwa mjumbe halali wa kikao hicho, alikemewa na kuzomewa. Miongoni mwa waliomkemea na kumdhalilisha ni wajumbe wa Kamati Kuu, ambao ni viongozi wakuu wa chama.
John Mnyika
FMES
Hilo la Buzwagi na la Lwakatare hayahusiani na barua ya Butiku. Nadhani ungeyafungulia Kamba zake.
Wema wote ndani ya CCM sasa ndio wakati wao wa kusimama na kuhesabiwa.
Nafikiri mtu mwingine ambaye ana majeraha sana ni aliyekuwa katibu wa CCM zamani, mzee Mangula nafikiri naye anaweza kutoa kilimtokea ktk hili.