Butiku aibuka tena:Anasema Tanzania imekosa viongozi wawajibikaji

Kila mara tunaambiwa humo humo ndani ya CCM bado wamo watu waadilifu. Watu hao hawaonekani kwa sababu wanaogopa kupoteza nafasi zao.

Panapotokea watu kama Butiku aliyemo CCM, na akawa na ujasiri wa kusema wanaCCM wenzake ni dalili nzuri. Pengine hata hao wazuri ambao ni waoga huenda siku moja wakadandia kwa ujasiri wa huyu mmoja, hata kama na yeye sio malaika. Vinginevyo hatuwezi kujua uzuri wa hao wanaoendelea kukaa kimya wakiendelea kuchunga maslahi yao.

Butiku kama ni fisadi na bado anao ujasiri wa kuwasuta mafisadi wenzake, basi ufisadi wake tutauvumilia hadi hapo ushahidi utakapoonyesha ufisadi wake ulivyo.
 
Butiku kama ni fisadi na bado anao ujasiri wa kuwasuta mafisadi wenzake, basi ufisadi wake tutauvumilia hadi hapo ushahidi utakapoonyesha ufisadi wake ulivyo.

Haibadili ukweli kuwa Butiku ni fisadi, Ulimwengu alimpigia kelele weee Mkapa, mpaka siku Mkapa alipomjibu kuwa tunajua hela zao wanatoa wapi, akamshauri Kagame akate msaaada, Rostam akanunua shirika la Ulimwengu, ukawa mwisho wa filimbi za Ulimwengu, ambaye alikuwa kundi moja huko nyuma na fisadi Mkapa, alipokatiwa mlo akaanza kelele,

Tumejifunza ya kutosha na kina Lamwai, Kaburu, Hizza, na kina Akwilombe, kwamba fisadi mwenye njaaa ni hatari kuliko hata fisadi wa kuzaliwa nao kama Mkapa,

Butiku is no tofauti na kina Akwilombe, ndio maana hawamjibu, lakini kuna siku can you imagine fisadi Mkapa, akiamua kumjibu fisadi Butiku? Mbingu zitaanguka mkuu, kelele zake ni nzuri lakini ni butu, period!
 
mzee ES unamkoma nyani bila kumuangalia usoni.

siku mkapa atapomjibu patakuwa hapatoshi
 
...acha kushangaa hapo wewe mtu kusomesha watu mlimani,nina uhakika hata deiwaka wa McDonald au factory unyamwezini akiamua kusomesha mtu mlimani ni kitu rahisi sana...what is 2000$? ni pesa ndogo sana ujue ukiwa US.

Mbona umejibu nusu? hiyo sehemu ya pili vipi? kha! unalo hilo!
 
Quote: Masatu

Kuhusu audit report za MNF kuwa safi hata kamati ya fedha ya Bunge ilisema ripoti ya fedha ya BOT ni safi je mimi na wewe tunakubali kuwa ni safi?


Ripoti ya wakaguzi inaposema safi, haina maana kuwa maeneo mengine hayana matatizo.

Kawaida inapofanyika ukaguzi wa kawaida wa kila mwaka huwa haujumuishi uchunguzi na ugunduzi wa masuala kama frauds nk.
Ukaguzi hufanyika kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa za kukagua hesabu hizo. Na kama kulikuwa na irregularities, basi bodi / menejimenti au wahusika hujulishwa ili kuangalia utaratibu wa kuchukua hatua nyingine za kufanya uchunguzi. Kwa mfano katika sakata la BoT ndiyo hasa kilichofanyika, lakini wakati wa mchakato huo wa kutoka kwenye ukaguzi kwenda kwenye uchunguzi information ziliwafikia akina upinzani wakazitoa kabla ya serikali haijazitoa.
Hapa inakuwa kama vile nani aliyewahi kufika polisi kati ya wagomvi wawili. Lakini pia serikali inawajibu wa kueleza pia mazingira yalivyokuwa ili kuweka hali sawa ya kuaminiana na kupunguza mivutano.

Juu ya MNF, hivi kwani nini wasitengue kauteuzi (lakini sina uhakika kama aliteuliwa) ili nyaraka zote zifikiwe?
 
Quote: Masatu

Kuhusu audit report za MNF kuwa safi hata kamati ya fedha ya Bunge ilisema ripoti ya fedha ya BOT ni safi je mimi na wewe tunakubali kuwa ni safi?


Ripoti ya wakaguzi inaposema safi, haina maana kuwa maeneo mengine hayana matatizo.

Kawaida inapofanyika ukaguzi wa kawaida wa kila mwaka huwa haujumuishi uchunguzi na ugunduzi wa masuala kama frauds nk.
Ukaguzi hufanyika kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa za kukagua hesabu hizo. Na kama kulikuwa na irregularities, basi bodi / menejimenti au wahusika hujulishwa ili kuangalia utaratibu wa kuchukua hatua nyingine za kufanya uchunguzi. Kwa mfano katika sakata la BoT ndiyo hasa kilichofanyika, lakini wakati wa mchakato huo wa kutoka kwenye ukaguzi kwenda kwenye uchunguzi information ziliwafikia akina upinzani wakazitoa kabla ya serikali haijazitoa.
Hapa inakuwa kama vile nani aliyewahi kufika polisi kati ya wagomvi wawili. Lakini pia serikali inawajibu wa kueleza pia mazingira yalivyokuwa ili kuweka hali sawa ya kuaminiana na kupunguza mivutano.

Juu ya MNF, hivi kwani nini wasitengue kauteuzi (lakini sina uhakika kama aliteuliwa) ili nyaraka zote zifikiwe?

Punda,

Thats exactly my point. Unapoambiwa hesabu za taasisi fulani ni safi usidhani ni wasafi hivyo kuna mambo mengi yamefunikwa ama kwa makusudi au kwa bahati mbaya.
 
Haibadili ukweli kuwa Butiku ni fisadi, Ulimwengu alimpigia kelele weee Mkapa, mpaka siku Mkapa alipomjibu kuwa tunajua hela zao wanatoa wapi, akamshauri Kagame akate msaaada, Rostam akanunua shirika la Ulimwengu, ukawa mwisho wa filimbi za Ulimwengu, ambaye alikuwa kundi moja huko nyuma na fisadi Mkapa, alipokatiwa mlo akaanza kelele,

Tumejifunza ya kutosha na kina Lamwai, Kaburu, Hizza, na kina Akwilombe, kwamba fisadi mwenye njaaa ni hatari kuliko hata fisadi wa kuzaliwa nao kama Mkapa,

Butiku is no tofauti na kina Akwilombe, ndio maana hawamjibu, lakini kuna siku can you imagine fisadi Mkapa, akiamua kumjibu fisadi Butiku? Mbingu zitaanguka mkuu, kelele zake ni nzuri lakini ni butu, period
!

Ukweli bado uko pale pale,tunawahitaji watu kama akina Butiku ambao pamoja na ufisadi wao bado wako tayari kudiriki na kuzungumza. Tunafaida gani na watu unaodai nisafi ambao wanaona nchi inavyoangamia na bado wanakaa kimyaa!!Tunahitaji watu ambao wanaweza wakatoka hadharani na kuzungumza ukweli hata kama wao wenyewe ni wezi.Tunahitaji taarifa sahihi ni si lazima zitoke kwa watu safi tu,hata zikitoka ndani ya genge hilo la wezi ili mradi ziwe sahihi.
Kwa maana yako hapa unasema haina haja kwa Ballali kuja kuzungumza hata kama anaujua ukweli kwa vile yeye mwenyewe ni mwizi!!!
Tusisahau kuwa habari sahihi na kweli hupatikana mara nyingi toka ndani ya kundi.
 
Mkuu Nyangumi,

Ninaziita kelele za Butiku, kuwa ni butu kwa sababu hasemi facts, mtu wa his position anajua mengi sana legally ambayo akiyasema wazi yanaweza kusaidia kuwafikisha baadhi ya viongozi wetu kwenye sheria, ameshapiga kelele za kutosha, sasa ahamie kwenye legal facts, anachofanya sasa hivi ni kupandikiza mbegu tu za chuki baina ya viongozi na wananchi, kama Dr. Slaaa anaweza kusema Butiku anashindwa nini? Hivi huoni Dr. Slaa alivyobadilisha muelekeo wa siasa zetu kwa one shot, yaani kutoa majina ya mafisadi hadharani, regrdless ya kama ni kweli au uongo, lakini toka ile siku siasa zetu bongo zilibadilika forever kwa sababu kwa mara ya kwanza toka tupate uhuru serikali yetu iliwekwa kwenye defensive end, mpaka leo haijatoka huko,

Sasa mlio karibu na Butiku, mwambieni aaamue moja either aseme in details tufuate sheria, kama ana details anaogopa awape kina Zitto na Dr. Slaaa, au anyamaze, maana so far hata sisi JF tunamzidi kwa kusema ukweli, yeye anaogopa nini? Anachofanya sasa hivi ni kutafuta umaarufu wa bure tu, huku akituchonganisha na viongozi wetu. Kuhusu viongozi wasafi wasiosema, ni kwamba kwenye maisha kuna wakati wa kila kitu na hasa kwenye siasa, timing is everything ndio maana Balali, hata huko aliko bado hawezi kusema, lakini pole pole we are getting there, kitendo cha Meghji kumsema Balali mbele ya hakikuwa kidogo, sasa wananchi tunahitaji kuongeza pressure badala ya kutegemea kufanyiwa na wengine.

Kuyafichua maovu ni kazi yetu wote wa-Tanzania, na sio viongozi, tusitafute sababu za kukwepa wajibu wetu wananchi, hakuna wa kutufanyia ni sisi wenyewe ndio tunatakiwa tufichue maovu ya viongozi wetu.
 
Mkuu Nyangumi,

Ninaziita kelele za Butiku, kuwa ni butu kwa sababu hasemi facts, mtu wa his position anajua mengi sana legally ambayo akiyasema wazi yanaweza kusaidia kuwafikisha baadhi ya viongozi wetu kwenye sheria, ameshapiga kelele za kutosha, sasa ahamie kwenye legal facts, anachofanya sasa hivi ni kupandikiza mbegu tu za chuki baina ya viongozi na wananchi, kama Dr. Slaaa anaweza kusema Butiku anashindwa nini? Hivi huoni Dr. Slaa alivyobadilisha muelekeo wa siasa zetu kwa one shot, yaani kutoa majina ya mafisadi hadharani, regrdless ya kama ni kweli au uongo, lakini toka ile siku siasa zetu bongo zilibadilika forever kwa sababu kwa mara ya kwanza toka tupate uhuru serikali yetu iliwekwa kwenye defensive end, mpaka leo haijatoka huko,

Sasa mlio karibu na Butiku, mwambieni aaamue moja either aseme in details tufuate sheria, kama ana details anaogopa awape kina Zitto na Dr. Slaaa, au anyamaze, maana so far hata sisi JF tunamzidi kwa kusema ukweli, yeye anaogopa nini? Anachofanya sasa hivi ni kutafuta umaarufu wa bure tu, huku akituchonganisha na viongozi wetu. Kuhusu viongozi wasafi wasiosema, ni kwamba kwenye maisha kuna wakati wa kila kitu na hasa kwenye siasa, timing is everything ndio maana Balali, hata huko aliko bado hawezi kusema, lakini pole pole we are getting there, kitendo cha Meghji kumsema Balali mbele ya hakikuwa kidogo, sasa wananchi tunahitaji kuongeza pressure badala ya kutegemea kufanyiwa na wengine.

Kuyafichua maovu ni kazi yetu wote wa-Tanzania, na sio viongozi, tusitafute sababu za kukwepa wajibu wetu wananchi, hakuna wa kutufanyia ni sisi wenyewe ndio tunatakiwa tufichue maovu ya viongozi wetu.

Hapa mkuu kidogo umeeleweka. Kwa hiyo unakubaliana nami kuwa watu wa ndani hata kama si safi bado wanahitajika ili mradi tu watuletee taarifa sahihi,zakweli na zenye kina zisizo za kinafiki.

Unajua hata Dr. Slaa bungeni hakuanika majina kwanza,alitoa habari hiyo kwa ujumlajumla tu baada ya hapo ndo alianika majina hadharani.Sasa naye huyu labda bado anaangalia upepo si "unajua maji kuyaingia inabidi uanzie unyayoni ati"
 
Mkuu Nyangumi,

Ninaziita kelele za Butiku, kuwa ni butu kwa sababu hasemi facts, mtu wa his position anajua mengi sana legally ambayo akiyasema wazi yanaweza kusaidia kuwafikisha baadhi ya viongozi wetu kwenye sheria, ameshapiga kelele za kutosha, sasa ahamie kwenye legal facts, anachofanya sasa hivi ni kupandikiza mbegu tu za chuki baina ya viongozi na wananchi, kama Dr. Slaaa anaweza kusema Butiku anashindwa nini? Hivi huoni Dr. Slaa alivyobadilisha muelekeo wa siasa zetu kwa one shot, yaani kutoa majina ya mafisadi hadharani, regrdless ya kama ni kweli au uongo, lakini toka ile siku siasa zetu bongo zilibadilika forever kwa sababu kwa mara ya kwanza toka tupate uhuru serikali yetu iliwekwa kwenye defensive end, mpaka leo haijatoka huko,

Sasa mlio karibu na Butiku, mwambieni aaamue moja either aseme in details tufuate sheria, kama ana details anaogopa awape kina Zitto na Dr. Slaaa, au anyamaze, maana so far hata sisi JF tunamzidi kwa kusema ukweli, yeye anaogopa nini? Anachofanya sasa hivi ni kutafuta umaarufu wa bure tu, huku akituchonganisha na viongozi wetu. Kuhusu viongozi wasafi wasiosema, ni kwamba kwenye maisha kuna wakati wa kila kitu na hasa kwenye siasa, timing is everything ndio maana Balali, hata huko aliko bado hawezi kusema, lakini pole pole we are getting there, kitendo cha Meghji kumsema Balali mbele ya hakikuwa kidogo, sasa wananchi tunahitaji kuongeza pressure badala ya kutegemea kufanyiwa na wengine.

Kuyafichua maovu ni kazi yetu wote wa-Tanzania, na sio viongozi, tusitafute sababu za kukwepa wajibu wetu wananchi, hakuna wa kutufanyia ni sisi wenyewe ndio tunatakiwa tufichue maovu ya viongozi wetu.


Nadhani sasa nime eleweka why nampinga Butiku .Ni njia hii ya kubisha ndiyo muafaka na solution kwa kila jambo . Nime nina doubt kila kitu na kila mtu .So nikiwa na hali hii tunazidi kupata mengi . Nimem doubt Mzee Butiku now we are learning more . Tuendeleeni .Es hapa nimekubali . Sina hiyana bwana ukifanya jema hata akiwa JK nasema yes .
 
Butiku hawezi kuanika jina la mtu wala mwana CCM yeyote maana ataaitwa Dodoma na kule atakumbushwa kukisema Chama ndani kwa ndani na si Nje . Nadhani pia wana CCM mnakumbuka kwamba hatupaswi kuikosoa serikali ya Chama chetu wazi wazi lazime twende uvunguni .Ndiyo maana kuna mengi na watu wanaamua kuvujisha maana CCM changu hiki hakuna masikio wala macho .
 
Haibadili ukweli kuwa Butiku ni fisadi, Ulimwengu alimpigia kelele weee Mkapa, mpaka siku Mkapa alipomjibu kuwa tunajua hela zao wanatoa wapi, akamshauri Kagame akate msaaada, Rostam akanunua shirika la Ulimwengu, ukawa mwisho wa filimbi za Ulimwengu, ambaye alikuwa kundi moja huko nyuma na fisadi Mkapa, alipokatiwa mlo akaanza kelele,

Tumejifunza ya kutosha na kina Lamwai, Kaburu, Hizza, na kina Akwilombe, kwamba fisadi mwenye njaaa ni hatari kuliko hata fisadi wa kuzaliwa nao kama Mkapa,

Butiku is no tofauti na kina Akwilombe, ndio maana hawamjibu, lakini kuna siku can you imagine fisadi Mkapa, akiamua kumjibu fisadi Butiku? Mbingu zitaanguka mkuu, kelele zake ni nzuri lakini ni butu, period!

Kama "haibadili ukweli kuwa Butiku ni fisadi' tupe huo ukweli badala ya kuzunguka na maneno meengi ya Rostam/Mkapa/Ulimwengu yasiyokuwa na msingi.

Sour grapes zinawaumiza wengi hapa. Mtu unapokuwa kila mahala, na wala msimamo wako haueleweki unasimamia wapi you loose your credibility. Unafiki huu ndio unaokiharibu CCM.
 
Naomba niambatanishe nilichosema kule kwenye mada ya Majuto Mjukuu. Hili ndilo linahitaji kufanyika kunyoosha uozo wa siasa Tanzania.

We are asking for our Commander in Chief, The Imperator to be strong and use his Auctoritas to execute his Imperium!

Right now it is not about CCM, CUF or Chadema, it is about Taifa! So the question what is the best way to tackle the issues at hand?

I am suggesting that he (Jakaya Kikwete);
  1. Dissolves the parliament, and his cabinet.
  2. Create a transitional government which its responsibilities will be to govern and lead and not Politiking. Expediting the fight against poverty, diseases and ignorance.Upholding efficiency and accountability on all levels.
  3. Suspend all political parties during transition period. This should include monetary contibution from "wafadhili" and such.
  4. Hold open discussions and referendum for New Katiba.
  5. Revisit the creeds on Azimio la Arusha so that he can stimulate production, efficiency and acocuntability for Wananchi.
  6. Create tough election laws and financing.
  7. Clean out deficiencies on Muungano.
  8. Establish strict leadership codes for all ranks from local governments, parliament and central government.
  9. Revamp Justice department and its partners; Police, PCCB, DPP, Mahakama
  10. Halting all investment negotiations, review signed contracts, re-negotiate government earnings from mining.
  11. Hold TRA and BRELA accountable for strict policies that will reduce incorporation of phony companies and Tax evasion. Ensure swift tax and revenue collection.
  12. Revoke all Tax and Duty incentives given to wawekezaji and anybody with exception of NGO that are primarily working on Social Development and can be audited to show results.
  13. Take all properties of CCM aquired before 1992 back to Central Government.
He is a damn President and he has power. It is only this time I will advocate for him to become absulute and have absolute powers!

Only if he is serious to recharge Ari, Kasi na Nguvu Mpya kwa manufaa ya Taifa na si ya Chama au kikundi fulani!
 
Rev.

Hizo point hapo juu zimekaa vizuri- ila nikuulize- do we have a political crisis in Tanzania kwa sasa?

JK na CCM hawawezi kukubali kuvunja Bunge- na hakuna guarantee Bunge jipya will be better!

Haya unayosema ni kama kuna serious Political Crisis!

Tambua pia pamoja na mapungufu Tz- bado JK amechaguliwa kuongoza AU!

Uhuru wa Habari Tz uko juu leo kuliko wakati wowote na hakuna mtu aliyeuawa au kukamatwa na kuonewa!

Haya mambo ya rushwa- well yapo sehemu nyingi tu pia duniani!
 
1.
Kama "haibadili ukweli kuwa Butiku ni fisadi' tupe huo ukweli badala ya kuzunguka na maneno meengi ya Rostam/Mkapa/Ulimwengu yasiyokuwa na msingi.

Mkuu ninapokuwa nao huwa ninausema, mara ya mwisho nilisema kuhusu Mkapa, na deal ya bandari ya miaka 25 na Karamagi, nafikiri umesikia majuzi ikipigiwa kelele na wabunge, lakini siwezi kuwa kwenye positon ya Butiku, kisiasa nikasema bila legal facts ambazo nina uhakika kuwa anazo, aziseme tuzifanyie kazi lakini sio juu juu tu na kuwasidia wauza magazeti huku mafisadi wanaendelea kutesa, wananchi tumeshazipita za siasa za mikingamo!

2.
Sour grapes zinawaumiza wengi hapa. Mtu unapokuwa kila mahala, na wala msimamo wako haueleweki unasimamia wapi you loose your credibility. Unafiki huu ndio unaokiharibu CCM.



Mkuu ningesikitika kama hii ingekuwa kweli on my part, lakini it is not, yes ninashirikiana au kufahamiana na viongozi wengi wa CCM na upinzani pia, sijawahi kumstahi kiongozi yoyote ambaye imethibitishwa kuwa ni muovu na taifa au hapa JF, the matter of fact kuna wakati huwa wakianikwa hapa huwa ninawasuta kwa kuwauliza kama ni kweli hizi accusations na huwa wananipa side of their stories, na I make my judgement na kuwatetea au kuwatwanga,

Msimamo wangu unaeleweka hapa JF, mimi ni mwanachama wa CCM damu, na ninajitayarisha kuingia ulingoni seriously very soon, mbegu nilishazipanda tayari kwenye ground zero, it is just the matter of time, na the day nikiingia mbingu zitashuka mkuu mimi sio hao uliowazoea sura mbili mmkuu, na pia nina fagilia upinzani wa nguvu kama a check kwa serikali yetu,

majina ya mafisadi yaliyotolewa na Dr. Slaa, nilikuwa mtu wa kwanza kuyaweka hapa JF wakati watu wanagwaya, I understand credibility ya kufuata upepo humu JF ili kuwemo kwenye crowd, hiyo mimi simo, na sina siasa za ku-stick upande mmoja halafu unashindwa kuchangia ishu nyingine muhimu kwa sababu ya misimamo ambayo haina nafasi kwenye siasa zetu Tanzania, kwenye hilo uko right kama ndio kipimo chako cha credibility, kwangu CCM chama cha Mwalimu, ni makini lakini kina haribiwa na baadhi ya viongozi wabovu ambao wakitolewa na kuwajibishwa kisheria itakuwa ndio solution ya matatizo yote ya bongo, lakini in the process ninataka ukweli wa ubovu wao na sio filimbi tu kama za Butiku,

Msimamo wangu ni firm, ndio maana kila siku ninarushiwa mawe yasiyokuwa ya kawaida, wengine mpaka wanajaribu kuni-hurt in the real life, sasa ndio kwanza ninaimalizia an-ishu ambapo one member hapa alifikiri ananijua in the real life na ninakofanya kazi serikalini, akaenda huko kazini na kupekela some ishus kutoka hapa akifikiri ni mimi, kumbe sio ni mwananchi innocent asiyejua kuwa hata kuna JF, thanks God kwamba I was able kuongea na wakuu wake wa kazi huyu mwananchi na kuwa-convince kuwa huyu mwananchi ameonewa mimi sio yeye, ni jana tu nilikuwa google HQ, kufuatilia ni nani aliyefanya hivyo toka hapa, na nimempata sasa, anatumia line kutoka mji unaoitwa New Rochelle, na anatumia watoto wake ambao ni wataalamu wa kompyuta, ila tu amesahau kuwa familia yake iko huko illegally hawana viza, na ana matatizo mengi ambayo ni aibu kuyasema hapa, na mimi nimemuahidi huyu mwananchi aliyeonewa kuwa jino kwa jino aniachie hilo, damu yangu au yake huyu mtu, na kama anasoma hapa ninamfahamisha kuwa hivi vita vitaamuliwa na Mungu, yeye ameanza mimi nitamaliza on my time, tena kwa my style ila sitampa free lunch, na siku tutakapokutana uso kwa uso mbingu zitaanguka,

Mkuu Kalamu, hayo juu hayampati mtu asiyekuwa na msimamo, na ninaomba nichukue nafasi hii kuwashukuru wale wote baadhi ya member tulioshirikiana nao kutoka humu JF kulitatua tatizo hilo, sina cha kuwalipa bali Mungu atawalipeni, na pia niwashukuru watu wa google kwa msaada wao mzito,

as for me wembe ni ule ule kumkoma nyani giladi, kwa ndugu zangu wengine be careful maana hiii anaweza kufanyiwa anyone hapa!

Ahsanteni!
 
Nakubaliana nawe ES kwamba huwa unabadilika kutokana na wakati . Kuna mtu mmoja tu akitajwa ndani ya CCM unaweza kuua mtu . Sitamtaja sasa lakini tuendelee .Yes I agree with you on most of you have said here .Ndiyo siasa hizi . Sasa unaingia kuutaka Ubunge jimbo lipi ? Swali lingine nitakujibu ukisha sema jibu hili .
 
1.

Mkuu ninapokuwa nao huwa ninausema, mara ya mwisho nilisema kuhusu Mkapa, na deal ya bandari ya miaka 25 na Karamagi, nafikiri umesikia majuzi ikipigiwa kelele na wabunge, lakini siwezi kuwa kwenye positon ya Butiku, kisiasa nikasema bila legal facts ambazo nina uhakika kuwa anazo, aziseme tuzifanyie kazi lakini sio juu juu tu na kuwasidia wauza magazeti huku mafisadi wanaendelea kutesa, wananchi tumeshazipita za siasa za mikingamo!

2.



Mkuu ningesikitika kama hii ingekuwa kweli on my part, lakini it is not, yes ninashirikiana au kufahamiana na viongozi wengi wa CCM na upinzani pia, sijawahi kumstahi kiongozi yoyote ambaye imethibitishwa kuwa ni muovu na taifa au hapa JF, the matter of fact kuna wakati huwa wakianikwa hapa huwa ninawasuta kwa kuwauliza kama ni kweli hizi accusations na huwa wananipa side of their stories, na I make my judgement na kuwatetea au kuwatwanga,

Msimamo wangu unaeleweka hapa JF, mimi ni mwanachama wa CCM damu, na ninajitayarisha kuingia ulingoni seriously very soon, mbegu nilishazipanda tayari kwenye ground zero, it is just the matter of time, na the day nikiingia mbingu zitashuka mkuu mimi sio hao uliowazoea sura mbili mmkuu, na pia nina fagilia upinzani wa nguvu kama a check kwa serikali yetu,

majina ya mafisadi yaliyotolewa na Dr. Slaa, nilikuwa mtu wa kwanza kuyaweka hapa JF wakati watu wanagwaya, I understand credibility ya kufuata upepo humu JF ili kuwemo kwenye crowd, hiyo mimi simo, na sina siasa za ku-stick upande mmoja halafu unashindwa kuchangia ishu nyingine muhimu kwa sababu ya misimamo ambayo haina nafasi kwenye siasa zetu Tanzania, kwenye hilo uko right kama ndio kipimo chako cha credibility, kwangu CCM chama cha Mwalimu, ni makini lakini kina haribiwa na baadhi ya viongozi wabovu ambao wakitolewa na kuwajibishwa kisheria itakuwa ndio solution ya matatizo yote ya bongo, lakini in the process ninataka ukweli wa ubovu wao na sio filimbi tu kama za Butiku,

Msimamo wangu ni firm, ndio maana kila siku ninarushiwa mawe yasiyokuwa ya kawaida, wengine mpaka wanajaribu kuni-hurt in the real life, sasa ndio kwanza ninaimalizia an-ishu ambapo one member hapa alifikiri ananijua in the real life na ninakofanya kazi serikalini, akaenda huko kazini na kupekela some ishus kutoka hapa akifikiri ni mimi, kumbe sio ni mwananchi innocent asiyejua kuwa hata kuna JF, thanks God kwamba I was able kuongea na wakuu wake wa kazi huyu mwananchi na kuwa-convince kuwa huyu mwananchi ameonewa mimi sio yeye, ni jana tu nilikuwa google HQ, kufuatilia ni nani aliyefanya hivyo toka hapa, na nimempata sasa, anatumia line kutoka mji unaoitwa New Rochelle, na anatumia watoto wake ambao ni wataalamu wa kompyuta, ila tu amesahau kuwa familia yake iko huko illegally hawana viza, na ana matatizo mengi ambayo ni aibu kuyasema hapa, na mimi nimemuahidi huyu mwananchi aliyeonewa kuwa jino kwa jino aniachie hilo, damu yangu au yake huyu mtu, na kama anasoma hapa ninamfahamisha kuwa hivi vita vitaamuliwa na Mungu, yeye ameanza mimi nitamaliza on my time, tena kwa my style ila sitampa free lunch, na siku tutakapokutana uso kwa uso mbingu zitaanguka,

Mkuu Kalamu, hayo juu hayampati mtu asiyekuwa na msimamo, na ninaomba nichukue nafasi hii kuwashukuru wale wote baadhi ya member tulioshirikiana nao kutoka humu JF kulitatua tatizo hilo, sina cha kuwalipa bali Mungu atawalipeni, na pia niwashukuru watu wa google kwa msaada wao mzito,

as for me wembe ni ule ule kumkoma nyani giladi, kwa ndugu zangu wengine be careful maana hiii anaweza kufanyiwa anyone hapa!

Ahsanteni!

My humble advice, take it or leave it: Get focussed if you want to be taken seriously and believed. There is too much meandering in what you are presenting before this JForum to the extent that it is hard to know where or with whom you stand. Huwezi kuwa upande wa mafisadi na hapo hapo ukawa mtetezi wa haki za wanyonge. Too much confusing.

Butiku alimwandikia barua mwenyekiti wake. Hilo tuliliona, na hatuna sababu kwa nini tusiamini anayoyasema sasa hivi eti tu kwa sababu na yeye ni fisadi ambaye pengine mrija wake umezibwa.

Pole kwa hayo yaliyokusibu.
 
Duh
Naona sasa kuna kukaliana kooni . Haya yangu macho .
 
wakati Yule Kahaba Analetwa Mbele Ya Bwana Waliomleta Wakaulizwa Kama Mkosafi Basi Mmoja Wenua Aanze Kunyanyua Jiwe Kumrushia Kahaba Huyu Hakika Wote Waligeuka Na Kuondoka::::

((wacheni Wafu Wzike Wafu Wao))

Butiku Washa Moto Tuko Nyuma Yako Baba.....kama Mnajua Madhambi Yake Washa Mooto Jf ...watu Waupakue Mchele Na Pumba Jamani...ukilika Lazima Aende Basi Tumwngeze Kwenye List Ya Mafisadi
 
kalamu:::MUNGU AKUTIE NGUVU USIKATE TAMAA NA BWANA AKUBARIKI KWA MOYO HUO ILA KUMBUKA KWENDA KANISANI KESHO
 
Back
Top Bottom