- Thread starter
- #61
Ooh hii ni sawa na huko Butiama. Na JPM yupo sijui ndo kawaagiza.. Watu wanalia kila siku hawana mteteziNimeshuhudia mwenyewe kwa macho yangu. Huko Ngaramtoni, Sakina wananchi wengine wanatozwa kuanzia laki; hawana kiwango maalumu cha tozo
Kiufupi inasikitisha sana
Sent using Jamii Forums mobile app