kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,392
sawa kabisa pia nadhani ile siku rais anaelezea kima hicho kuna watu hasa watendaji wake hawakumuelewa, mpaka sasa tafrisri ya machinga ni yupi haina kikomo, yaani badala wapewe wamachinga, wanapewa mpaka wauza mchicha na nyanya, kuhusu kisheria sina utalamu nalo ila nadhani haitatungwa, kwanza ni nani atamshauri jiwe afanye hivyo? hii kitu atakua ameachiwa mkurugenzi na baadae tutaambiwa inapelekwa hazina, hawa watu we waskie tu! sina hamu nao!.
Ndiyo wanasema sehemu nyingi.
Lakini, mimi ninayo mawazo chanya na dhana husika.
Hata hivyo, kuna shida mbili ningependa zitatuliwe.
Moja ni ukosefu wa mwongozo wa kima cha chini cha mtaji.
Na pili ni suala la kisheria--Makusanyo hayo yanaongozwa na sheria gani?
Kuna shida hapo.