Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Habari wanaJF,
Serikali imevunja Mkataba na Wakala wa Majengo(TBA) baada ya kutoa taarifa za uongo kwa Waziri Mkuu kuhusu maendeleo ya ujenzi wa majengo ya Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Butiama na Halmashauri mpya wilaya ya Butiama mkoani Mara.
Ikumbukwe kuwa Wakala huyo wa Majengo wiki iliyopita alipewa onyo na Waziri wa Elimu baada ya kusuasua kuanza maradi wa Ujenzi wa Madarasa, Ofisi za Chuo Kikuu cha Muhimbili Kampasi ya Mloganzila huku wakiwa wamepewa fedha na Serikali
Serikali imevunja Mkataba na Wakala wa Majengo(TBA) baada ya kutoa taarifa za uongo kwa Waziri Mkuu kuhusu maendeleo ya ujenzi wa majengo ya Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Butiama na Halmashauri mpya wilaya ya Butiama mkoani Mara.
Ikumbukwe kuwa Wakala huyo wa Majengo wiki iliyopita alipewa onyo na Waziri wa Elimu baada ya kusuasua kuanza maradi wa Ujenzi wa Madarasa, Ofisi za Chuo Kikuu cha Muhimbili Kampasi ya Mloganzila huku wakiwa wamepewa fedha na Serikali