Habari wadau.
Natafuta mjasiriamali wa kushirikiana kupanga nae fremu kwenye hostel za wanachuo udsm na kufanya separation ya fremu space via aluminium na kila mtu akafanya biashara yake.. muhimu biashara zisiiingiliane.. na prefer ndani ya hostel za chuo sababu biashara yangu imelenga vijana zaidi ambao wengi ni wanachuo, na usalama wa vitendea kazi ni mkubwa kuna ulinzi 24 hours.
Kwa research yangu kodi wanachaji usd 3 mpaka 6 kw square meter.. my business inahitaji square metre kama 20..
Will be a tshirt printing studio… ma fremu ya mabibo ni makubwa sana so ni vizuri kama kuna mtu ana biashara nyingine ambayo target market yake ni wanafunzi tukashirikiana kwenye kodi na kugawana fremu square metre space based ya ulivyochangia…..
Na prefer sana mtu anaeuza nguo
Mtu wa make up and hair styling saloon
Mtu wa stationary
Na biashara ingine yeyote ya kuuza vitu vya wanachuo tofauti na chakula,, kuondoa disturbance ya harufu ya mapocho pocho
Namba ya simu 0718 537 216
note : mtu anaehitajika ni mwenye biashara inayohitaji square metre sio chini ya 10... kuondoa kurundikana wengi in a one fremu
Natafuta mjasiriamali wa kushirikiana kupanga nae fremu kwenye hostel za wanachuo udsm na kufanya separation ya fremu space via aluminium na kila mtu akafanya biashara yake.. muhimu biashara zisiiingiliane.. na prefer ndani ya hostel za chuo sababu biashara yangu imelenga vijana zaidi ambao wengi ni wanachuo, na usalama wa vitendea kazi ni mkubwa kuna ulinzi 24 hours.
Kwa research yangu kodi wanachaji usd 3 mpaka 6 kw square meter.. my business inahitaji square metre kama 20..
Will be a tshirt printing studio… ma fremu ya mabibo ni makubwa sana so ni vizuri kama kuna mtu ana biashara nyingine ambayo target market yake ni wanafunzi tukashirikiana kwenye kodi na kugawana fremu square metre space based ya ulivyochangia…..
Na prefer sana mtu anaeuza nguo
Mtu wa make up and hair styling saloon
Mtu wa stationary
Na biashara ingine yeyote ya kuuza vitu vya wanachuo tofauti na chakula,, kuondoa disturbance ya harufu ya mapocho pocho
Namba ya simu 0718 537 216
note : mtu anaehitajika ni mwenye biashara inayohitaji square metre sio chini ya 10... kuondoa kurundikana wengi in a one fremu