Dar_Millionaire
JF-Expert Member
- Aug 6, 2008
- 227
- 82
Wadau,
Nina uhakika kuna baadhi yenu kama mimi idea ya kuinvest kwenye DNA testing itakuwa imeshacross your minds.
Ila baada ya kupitia article ya Michuzi leo nadhani hakuna ubishi kuwa kuna pesa kibao ziko nje nje.
MICHUZI
Ukiangalia market analysis:
1. Inaelekea kuna service provider (SP) mmoja ambaye ni Mkemia Mkuu wa Serikali.
2. Service provider huyo ana ukiritimba wa hali ya juu kwamba mteja haruhusiwi kupata huduma isipokuwa kwa kupitia kwa Mwanasheria au Afisa Ustawi wa Jamii.
3. SP ana products mbili ambazo ni (i) kuthibitisha mtoto kama ni wa baba yake na (ii) kuthibitisha uhusika wa watuhumiwa katika kesi mbalimbali
Katika mazingira ya kawaida kwa mjasiriamali perhaps kuuza product namba (ii) hapo juu itakuwa ngumu, lakini product namba (i) ambayo ndio iko very sensational na potential customers ni wengi itakuwa rahisi sana kuuza.
CHALLENGES
1. Uhalali na ubatili wa matokeo
Kuna mdau mmoja pale kwa Issa Michuzi (ambaye ni mtoa maoni anon wa April 10, 2009 7:34 AM) kahoji uhalali wa matokeo kwamba inawezekana TANESCO walifanya vitu vyao wakati testi inaendelea, n.k.
Hivyo njia mojawapo kwa mjasiriamali atayekuwa tayari kuwekeza katika sekta hii kuondoa mashaka na kupata publicity baaab kubwa ya bure ni kufanya test hadharani au kwa kualika wanafamilia idadi fulani (eg 10, watano toka upande wa mama watano toka kwa baba) ili kushuhudia LIVE test inavyokwenda.
Pia mjasiriamali huyo itabidi atoa elimu kwa umma jinsi DNA test inavyofanyika, matokeo huwa yanakuwaje na yanatafsiriwaje, vitu gani vinaweza kuathiri matokeo yakawa batili, na vitu gani haviwezi kuathiri matokeo.
2. Sheria zikoje?
Je kuna sheria yoyote inayozuia wajasiriamali kufanya biashara ya DNA testing? Hii setup ya sasa aliyozungumzia Mkemi Mkuu inajenga taswira fulani mbaya kana kwamba hii ni sekta ambayo iko regulated kwamba mpaka wanasehria na maafisa ustawi wa jamii wawe involved.
Kama kuna kesi kuhusu paternity well and good, lakini kutokana na reaction ya wato maoni wachache pale kwa michuzi, na general common sense ni lazima kutakuwa na mamilioni ya wananchi ambao wangependa tu kujua kwamba watoto wanaolea ni wao ama la.
Tujadili...
Nina uhakika kuna baadhi yenu kama mimi idea ya kuinvest kwenye DNA testing itakuwa imeshacross your minds.
Ila baada ya kupitia article ya Michuzi leo nadhani hakuna ubishi kuwa kuna pesa kibao ziko nje nje.
MICHUZI
Ukiangalia market analysis:
1. Inaelekea kuna service provider (SP) mmoja ambaye ni Mkemia Mkuu wa Serikali.
2. Service provider huyo ana ukiritimba wa hali ya juu kwamba mteja haruhusiwi kupata huduma isipokuwa kwa kupitia kwa Mwanasheria au Afisa Ustawi wa Jamii.
3. SP ana products mbili ambazo ni (i) kuthibitisha mtoto kama ni wa baba yake na (ii) kuthibitisha uhusika wa watuhumiwa katika kesi mbalimbali
Katika mazingira ya kawaida kwa mjasiriamali perhaps kuuza product namba (ii) hapo juu itakuwa ngumu, lakini product namba (i) ambayo ndio iko very sensational na potential customers ni wengi itakuwa rahisi sana kuuza.
CHALLENGES
1. Uhalali na ubatili wa matokeo
Kuna mdau mmoja pale kwa Issa Michuzi (ambaye ni mtoa maoni anon wa April 10, 2009 7:34 AM) kahoji uhalali wa matokeo kwamba inawezekana TANESCO walifanya vitu vyao wakati testi inaendelea, n.k.
Hivyo njia mojawapo kwa mjasiriamali atayekuwa tayari kuwekeza katika sekta hii kuondoa mashaka na kupata publicity baaab kubwa ya bure ni kufanya test hadharani au kwa kualika wanafamilia idadi fulani (eg 10, watano toka upande wa mama watano toka kwa baba) ili kushuhudia LIVE test inavyokwenda.
Pia mjasiriamali huyo itabidi atoa elimu kwa umma jinsi DNA test inavyofanyika, matokeo huwa yanakuwaje na yanatafsiriwaje, vitu gani vinaweza kuathiri matokeo yakawa batili, na vitu gani haviwezi kuathiri matokeo.
2. Sheria zikoje?
Je kuna sheria yoyote inayozuia wajasiriamali kufanya biashara ya DNA testing? Hii setup ya sasa aliyozungumzia Mkemi Mkuu inajenga taswira fulani mbaya kana kwamba hii ni sekta ambayo iko regulated kwamba mpaka wanasehria na maafisa ustawi wa jamii wawe involved.
Kama kuna kesi kuhusu paternity well and good, lakini kutokana na reaction ya wato maoni wachache pale kwa michuzi, na general common sense ni lazima kutakuwa na mamilioni ya wananchi ambao wangependa tu kujua kwamba watoto wanaolea ni wao ama la.
Tujadili...