Business Opportunity in DNA Testing (tujadili, anayeweza ajitose)

Dar_Millionaire

JF-Expert Member
Aug 6, 2008
227
82
Wadau,

Nina uhakika kuna baadhi yenu kama mimi idea ya kuinvest kwenye DNA testing itakuwa imeshacross your minds.

Ila baada ya kupitia article ya Michuzi leo nadhani hakuna ubishi kuwa kuna pesa kibao ziko nje nje.

MICHUZI

Ukiangalia market analysis:

1. Inaelekea kuna service provider (SP) mmoja ambaye ni Mkemia Mkuu wa Serikali.
2. Service provider huyo ana ukiritimba wa hali ya juu kwamba mteja haruhusiwi kupata huduma isipokuwa kwa kupitia kwa Mwanasheria au Afisa Ustawi wa Jamii.
3. SP ana products mbili ambazo ni (i) kuthibitisha mtoto kama ni wa baba yake na (ii) kuthibitisha uhusika wa watuhumiwa katika kesi mbalimbali

Katika mazingira ya kawaida kwa mjasiriamali perhaps kuuza product namba (ii) hapo juu itakuwa ngumu, lakini product namba (i) ambayo ndio iko very sensational na potential customers ni wengi itakuwa rahisi sana kuuza.

CHALLENGES

1. Uhalali na ubatili wa matokeo

Kuna mdau mmoja pale kwa Issa Michuzi (ambaye ni mtoa maoni anon wa April 10, 2009 7:34 AM) kahoji uhalali wa matokeo kwamba inawezekana TANESCO walifanya vitu vyao wakati testi inaendelea, n.k.

Hivyo njia mojawapo kwa mjasiriamali atayekuwa tayari kuwekeza katika sekta hii kuondoa mashaka na kupata publicity baaab kubwa ya bure ni kufanya test hadharani au kwa kualika wanafamilia idadi fulani (eg 10, watano toka upande wa mama watano toka kwa baba) ili kushuhudia LIVE test inavyokwenda.

Pia mjasiriamali huyo itabidi atoa elimu kwa umma jinsi DNA test inavyofanyika, matokeo huwa yanakuwaje na yanatafsiriwaje, vitu gani vinaweza kuathiri matokeo yakawa batili, na vitu gani haviwezi kuathiri matokeo.

2. Sheria zikoje?

Je kuna sheria yoyote inayozuia wajasiriamali kufanya biashara ya DNA testing? Hii setup ya sasa aliyozungumzia Mkemi Mkuu inajenga taswira fulani mbaya kana kwamba hii ni sekta ambayo iko regulated kwamba mpaka wanasehria na maafisa ustawi wa jamii wawe involved.

Kama kuna kesi kuhusu paternity well and good, lakini kutokana na reaction ya wato maoni wachache pale kwa michuzi, na general common sense ni lazima kutakuwa na mamilioni ya wananchi ambao wangependa tu kujua kwamba watoto wanaolea ni wao ama la.

Tujadili...
 
Mkuu nchi ina opportunity ya kila aina sasa ukitaka kuwekeza itabidi mtu mwingine ajiingize kati (halafu hatoi chochote)
Ukifanya mwenyewe utapoteza kila kitu
 
Wadau,

Nina uhakika kuna baadhi yenu kama mimi idea ya kuinvest kwenye DNA testing itakuwa imeshacross your minds.

Ila baada ya kupitia article ya Michuzi leo nadhani hakuna ubishi kuwa kuna pesa kibao ziko nje nje.

MICHUZI

Ukiangalia market analysis:

1. Inaelekea kuna service provider (SP) mmoja ambaye ni Mkemia Mkuu wa Serikali.
2. Service provider huyo ana ukiritimba wa hali ya juu kwamba mteja haruhusiwi kupata huduma isipokuwa kwa kupitia kwa Mwanasheria au Afisa Ustawi wa Jamii.
3. SP ana products mbili ambazo ni (i) kuthibitisha mtoto kama ni wa baba yake na (ii) kuthibitisha uhusika wa watuhumiwa katika kesi mbalimbali

Katika mazingira ya kawaida kwa mjasiriamali perhaps kuuza product namba (ii) hapo juu itakuwa ngumu, lakini product namba (i) ambayo ndio iko very sensational na potential customers ni wengi itakuwa rahisi sana kuuza.

CHALLENGES

1. Uhalali na ubatili wa matokeo

Kuna mdau mmoja pale kwa Issa Michuzi (ambaye ni mtoa maoni anon wa April 10, 2009 7:34 AM) kahoji uhalali wa matokeo kwamba inawezekana TANESCO walifanya vitu vyao wakati testi inaendelea, n.k.

Hivyo njia mojawapo kwa mjasiriamali atayekuwa tayari kuwekeza katika sekta hii kuondoa mashaka na kupata publicity baaab kubwa ya bure ni kufanya test hadharani au kwa kualika wanafamilia idadi fulani (eg 10, watano toka upande wa mama watano toka kwa baba) ili kushuhudia LIVE test inavyokwenda.

Pia mjasiriamali huyo itabidi atoa elimu kwa umma jinsi DNA test inavyofanyika, matokeo huwa yanakuwaje na yanatafsiriwaje, vitu gani vinaweza kuathiri matokeo yakawa batili, na vitu gani haviwezi kuathiri matokeo.

2. Sheria zikoje?

Je kuna sheria yoyote inayozuia wajasiriamali kufanya biashara ya DNA testing? Hii setup ya sasa aliyozungumzia Mkemi Mkuu inajenga taswira fulani mbaya kana kwamba hii ni sekta ambayo iko regulated kwamba mpaka wanasehria na maafisa ustawi wa jamii wawe involved.

Kama kuna kesi kuhusu paternity well and good, lakini kutokana na reaction ya wato maoni wachache pale kwa michuzi, na general common sense ni lazima kutakuwa na mamilioni ya wananchi ambao wangependa tu kujua kwamba watoto wanaolea ni wao ama la.

Tujadili...

Mkuu DM,

Umefanya good observation and analysis.

Ni kweli kuna kila sababu ya kuwekeza kwenye mradi wa namna hii lakini sisi watanzania ni wavivu na waoga kutake chance/risks ama tunadharau

On the other hand tatizo kubwa tulilonalo kwa Tanzania ni Capital, kuwekeza kwenye mitambo ya DNA testing sio mchezo ingawa sijui exactly ni kiasi gani. Nimesema hivyo maaana nimeona offisi ya Mkeamia imefanya tests chini ya 1000 kwa miaka 3, je ni ugumu wa kufanya hizo test ndio maana wanafanya on average moja kwa siku? Ama ni garama za kufanya hizo test ndio ziko juu? au ni upatikanaji wa vitendea kazi ndio umefanya hiyo hali??? ama hakuna mahitaji makubwa????

Kitu kingine muhimu kwa Tanzania ni kuanzisha DNA database kiasi kwamba mtu ameugua kafariki, kaungua moto, kapata ajali basi utambulisho wake unaweza kufanywa kwa kutumia DNA. Hii ndio inaweza kuwa njia pekee ya kucreate demand ya huduma ya DNA test
 
Wadau,

Nina uhakika kuna baadhi yenu kama mimi idea ya kuinvest kwenye DNA testing itakuwa imeshacross your minds.

Ila baada ya kupitia article ya Michuzi leo nadhani hakuna ubishi kuwa kuna pesa kibao ziko nje nje.

MICHUZI

Ukiangalia market analysis:

1. Inaelekea kuna service provider (SP) mmoja ambaye ni Mkemia Mkuu wa Serikali.
2. Service provider huyo ana ukiritimba wa hali ya juu kwamba mteja haruhusiwi kupata huduma isipokuwa kwa kupitia kwa Mwanasheria au Afisa Ustawi wa Jamii.
3. SP ana products mbili ambazo ni (i) kuthibitisha mtoto kama ni wa baba yake na (ii) kuthibitisha uhusika wa watuhumiwa katika kesi mbalimbali...

2. Sheria zikoje?

Je kuna sheria yoyote inayozuia wajasiriamali kufanya biashara ya DNA testing? Hii setup ya sasa aliyozungumzia Mkemi Mkuu inajenga taswira fulani mbaya kana kwamba hii ni sekta ambayo iko regulated kwamba mpaka wanasehria na maafisa ustawi wa jamii wawe involved...

Tujadili...

...naamini kuhusishwa kwa mkemia mkuu wa serikali kupitia kwa mwanasheria ama maafisa wa ustawi wa jamii ni katika kumlinda mama na mtoto, kwani reaction ya baba/wababa baada ya kupewa majibu ya hapana, athari zake huenda zikawa kubwa kuliko inavyotarajiwa.

Kwa maoni yangu, uchunguzi huo uendelee kuwa mikononi mwa mkemia mkuu wa serikali kuratibu mapokeo ya jamii husika, mpaka hapo zoezi litapoeleweka. Takwimu tayari zinajionyesha karibia 60% ya sampuli 250 zilizokusanywa mwaka 2005/2006 kina baba wamebambikiwa mimba nchini Tanzania.

wataalamu washeria watazidi kutufafanulia, wakati huo huo vipi kuwekeza kwenye huduma ya ushauri (counselling i.e marriage, fostering, adoption, divorce, etc )?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom