Business ideas (Bure)

Wakuu, nataka kuurudisha uzi huu kwenye kupumua tena. Moja wapo ya muelekeo mpya ni kuruhusu maswali na majibu hapa kwenye uzi.

Kama una swali kuhusu biashara yako na unadhani linaweza kujibiwa hapa, bandika hapa na wadau tukishirikiana tutakupa moja au mawili.
ahsante mkuu naomba mchanganuo biashara ya fresh juice
 
Kwa mnaofanya kilimo. Nayafuta partner ambae atatoa know how and I will fund the project.
Requirement
1. Only short rotation plantation
2. Must have idea about plantation
3. Proven truck record about kilimo.

Send me a pm

Thanks
 
I'm actually making a mobile game right now hoping to get to that young market I'm not sure if there have been any mobile games made in TZ yet, nipo vizuri katika programming(C#) and 3D modelling. I think I can get something out of it what do you guys think? Is this really a way to make a living, or am I chasing dust? Here is an image of some of my work.
Screenshot (65).png
Screenshot (66).png
Screenshot (65).png
 
Kwa mnaofanya kilimo. Nayafuta partner ambae atatoa know how and I will fund the project.
Requirement
1. Only short rotation plantation
2. Must have idea about plantation
3. Proven truck record about kilimo.

Send me a pm

Thanks

Check here we can do something 0767959073
 
Ni mtazamo unaonaje ukiingia ubia na serikari yako ukatafuta soko linalotumiwa sana na wananchi ukatoa kiasi kidogo cha pesa ukatengeneza miundo mbinu sokon ukaweka hali nzuri ukalitengeneza soko Meza mbovu ukatengeneza nashimo ukaziba wa chini usimtoa ila mtengenezee mazingira Malipo yako yanakuja pale wanapo lipa ushuru nawe unapewa %kwa kwa kila mfanya biashara nikitu kizur ila nimeeleza kwa jujuutu
 
I'm actually making a mobile game right now hoping to get to that young market I'm not sure if there have been any mobile games made in TZ yet, nipo vizuri katika programming(C#) and 3D modelling. I think I can get something out of it what do you guys think? Is this really a way to make a living, or am I chasing dust? Here is an image of some of my work.View attachment 597646 View attachment 597649 View attachment 597646

Is Tanzania market ready for such a product? How can you stay competitive with world knowns game companies?
 
Wakuu nimekuwa nikifuatilia JF kwa muda mrefu sana, tangu enzi hizo inaitwa JamboForums mpaka JamiiForums. Nimeona watu wengi walivyo na muamko wa biashara ili kuongeza kipato sababu mishara ya kazini haitoshi. Lakini kikubwa nimeona watu wanavyoumiza kichwa kujua nini wafanye, wengi wamekuwa waigizaji au copycat. Kwenye biashara kuna watu wa aina tatu Innovator, imitator and ------, hivyo try to be innovator.

Ok enough of blah blah. Mpango wangu katika post hii ni kuainisha biashara 6 ambazo mtaji wake ni less than 10,000USD exclude a working capital.

1. Food Processing and Packaging: (The truth ni kwamba agro product zetu hazipo kwenye mashelf ya supermarket za dar sababu the packaging sucks. Nilinunua bottle ya mbilimbi pickles, yaani product is taste lakini the package ni aibu. Biashara yoyote inayohusu chakula una potential ya kuikuza at least by 15% annual. Food ambazo unaweza process includes Maharage, mahindi mabichi, samaki, njegere, mchicha na nyingine nyingi. Sio lazima kutengeneza pilipili everybody is doing it.


2. Maize and Rice Milling: Najua hapa wote mtasema oooh Azam na Jogoo wameshika soko, guess what kuna at least 20% ya market share ambayo ni nobody territory. Unachotakiwa ni kujitofautisha (Differentiation Strategy) na Azam na Jogoo.

Here is how:

(a) Kiwango (Quality), hakuna atake nunua unga wako kama ukikaa ndani unaoza,

(b) Urahisishaji (convenience) hapa sio kwenye price bali kwenye packaging, funga katika ujazo wa 1/2KG, 1KG, 2KG, 5KG na 10KG. Zama za mizani zimekwisha.

(c) Bei shindani (competitive price), kumbuka zama za kulopoka kwamba kilo 1,000 zimekwisha. Have all the facts behind your numbers, jua gharama za uzalishaji (Direct Cost & Indirect Cost), pricing is an art sio kulopokwa tuu sababu everybody is selling 1,000 basi na wewe 1,000.


3. Quick Car Wash,Tire Repair, Oil and Lubes: Kila mtu anaona magari yanavyongezeka Tanzania, the good news ni kwamba this is nothing in the next 10 years idadi will double. Means kwamba opportunity and opportunity for entrepreneur. Nimeita quick sababu quickness ndio inakutofautisha na wachaga walio na sehemu hizi.

Kumbuka we are not trying to bring new business into the market we're either changing the process or improve the service that's it. So, hapa unaitaji air compressor ya mid size, hydraulics car jack za ukweli sio vile vijeki mshenzi ambavyo lazima utumie msuli. Remember quickness here at least 10 minutes mtu hayupo.


4. Bakery, fast food restaurant and Pizza Place: Tanzania sasa imeamka jamani sio miaka ya 1980s ambapo watu walikuwa wananua maandazi ya kufunga na gazeti, watu sasa wanataka good product, well packed and delicious. Cha muhimu hapa ni location, ukienda kufungua hii venture kigogo huko au kwetu kimanga am sorry no one will recognize it.

Angalia location and target "middle income consumer" wanaojifunga tai na michuchumio ( facebook/twitter generation). Hapa pia kumbuka quickness is a key, watu wanajaribu kuishinda foleni, so no one will give you 20mins umfungie maandazi.


5. Mobile entertainment: Hapa kama una ujuzi wa kuwaza unaweza kutengeneza pesa mpaka basi. Over 20% ya Watanzania ni watoto 12years and younger. Means kwa dar tuu wapo watoto zaidi ya laki 6. Kila mdada anajaribu biashara ya kuleta bounce house kwenye birthday za watoto, that is so 1960s. Watoto wa siku hizi wapo 9 hours ahead, fikiria outside the box. Kumbuka hi St. Majanga zote zilizojaa dar ukiwa na good mobile entertainment idea you will partner with all of them. This is pure money...

6. Mobile Fast Food Restaurant: Wenyewe mnaona jinsi KFC au subway zinavyojaza au container pale morocco, lakini hawa wote ni "brick and mortar" hawewezi kuwafata wateja posta, coco beach. Wewe unafanya mapinduzi, kumbuka business is always about revolution if you evolve yatakupata ya Blackberry.

Kama una idea nyingine weka hapa, zama za kuamini kwamba idea yako watu wataichukua is nonsense, sababu wewe unaijua idea yako kushinda mtu mwingine. Kama mimi all those 6 are my ideas. Let soko liwe jaji.

Mungu akijalia wakati mwingine nitaandika tumia social media to make miracle in your business. Na hapa you will see how facebook, twitter, blogs can make revolution for your business. Remember we do not bring anything new in the market, we are either change, process au improve service.

Huwa naamini nikiwa jf sipotezi wakati wangu
Najifunza na kujua mengi sana pasipo hata kwa mtoa mada kufaham nafaidika vipi na post zao
Mungu akuzidishie mkuu,wachache sana wanaoweza kutoa business idea zao open kama hivi
 
Ndugu wadau, naombeni kusaidiwa wazo la kutoka kimaisha. natamani kuacha kazi ya kuajiriwa(serikalini) na kuanzisha (kucreate) business au jambo litakalonifanya nisisubiri malipo ya mwisho wa mwezi. Naomba changia kwa busara
 
Nadhani pia maelezo yako ungeyajazia nyama nyama, kama huko serikalini unafanya kazi gani na una muda gani tangu uajiriwe, pia upo mkoa gani na kubwa kuliko naamini kuwa kila mwanadamu ana wazo liwe baya au zuri so wewe kabla ya kupewa wazo ulikuwa na wazo gani ili tuone kama litahitaji kurekebishwa au kupewa wazo lingine
Akhsante nawasilisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom