Busara zitumike kuwapata viongozi wa CHADEMA

Indume

Member
Apr 11, 2011
81
36
Hivi karibuni Mwenyekiti wa Taifa CHADEMA alitangaza kuongeza ama kusogeza muda wa kufanyika kwa uchaguzi wa nafasi mbalimbali za chama ndani ya CHADEMA. Nilifuatilia kwa makini maoni ya wadau kuhusu mabadiriko ya muda ikaonekana ni kweli muda ulioongezwa wa mwaka mmoja ni mzuri kwa kuangalia namna ya kuwapata viongozi makini wa kuipeleka CHADEMA Magogoni 2015.

Kwa hali jinsi ilivyo katika mikoa (baadhi )hapa nchini, kumekuwepo na mvutano wa kimasilahi na kutokuelewana kwa viongozi na watendaji ndani ya CHADEMA kiasi cha kuleta vurugu nyingi za kisiasa zinazoonekana kuvuruga kabisa mkakati wa "Vuguvugu la Mabadiriko" - M4C. Mkoani Mwanza, Arusha na hata maeneo mengine tumeshuhudia Madiwani wengine wakifutwa uanachama, wengine wakikimbilia Mahakamani na hata wengine kukaa kimya tu kwa kile kinachoonekana sasa ni kama vurugu za kisiasa ndani ya CHADEMA ambayo ninaamini pia ndo ukomavu wa kisiasa. Lakini siyo siku zote ni kweli kuwa misukosuko hii inakomaza siasa bali mingine inaua kabisa harakati za kisiasa. Mikoa ambayo tayari imeonekana ni migumu kisiasa ndani ya CHADEMA kama Mwanza basi ni busara kutafakari kwa kina chanzo cha vurugu, athari zake, na nani atakaye simama imara kuleta muunganiko wa fikra CHADEMA.

Kwa hali hiyo ninatoa rai kuwa chaguzi zinazokuja za CHADEMA itumike busara kabisa ili kuwapata Viongozi/watendaji ambao wataelewa nini CHADEMA inataka kufanya kulingana na misukosuko yote hii. Hata wale waliosimamishwa, kufukuzwa , ama bado wamekaripiwa tukumbuke pia huenda wana timu itakayoshiriki kikamilifu katika chaguzi zijazo. Kwa hiyo ni BUSARA zaidi itumike kuwapata viongozi thabiti wanaoendana na kauli mbiu ya sasa "Movement for Changes" ili kuiandaa jamii kufanya mabadiriko ya maamuzi ifikapo 2015. Kila jambo jema litawezekana 2015.
 
Demokrasia ina gharama yake

Uchaguzi wa viongozi wa Chadema uakua uchaguzi wa

1:Uchaguzi wa viongozi wa chama cha upinzani

2:Uchaguzi wa kuhitimisha transition of power 2015

3:Uchaguzi wa kuongoza chama tawala baada ya uchaguzi mkuu kama chama kipya ongozi katika historia ya Tanzania

Ni lazima kuwe na umakini wa hali ya juu ili kupata uongozi bora unaoweza kuendana na mahitaji hayo hapo juu

Tena safari hii inabidi Tuwe very strict katika chaguzi hizi.Rushwa itangazwe kabisa kama kigezo cha kushindwa uchaguzi hata kama umejipenyeza na sasa tuwe na special committee of inquiery kuhusu Rushwa
 
Demokrasia ina gharama yake

Uchaguzi wa viongozi wa Chadema uakua uchaguzi wa

1:Uchaguzi wa viongozi wa chama cha upinzani

2:Uchaguzi wa kuhitimisha transition of power 2015

3:Uchaguzi wa kuongoza chama tawala baada ya uchaguzi mkuu kama chama kipya ongozi katika historia ya Tanzania

Ni lazima kuwe na umakini wa hali ya juu ili kupata uongozi bora unaoweza kuendana na mahitaji hayo hapo juu

Tena safari hii inabidi Tuwe very strict katika chaguzi hizi.Rushwa itangazwe kabisa kama kigezo cha kushindwa uchaguzi hata kama umejipenyeza na sasa tuwe na special committee of inquiery kuhusu Rushwa
 
Demokrasia ina gharama yake

Uchaguzi wa viongozi wa Chadema utakua uchaguzi wa

1:Uchaguzi wa viongozi wa chama cha upinzani

2:Uchaguzi wa kuhitimisha transition of power 2015

3:Uchaguzi wa kuongoza chama tawala baada ya uchaguzi mkuu kama chama kipya ongozi katika historia ya Tanzania

Ni lazima kuwe na umakini wa hali ya juu ili kupata uongozi bora unaoweza kuendana na mahitaji hayo hapo juu

Tena safari hii inabidi Tuwe very strict katika chaguzi hizi.Rushwa itangazwe kabisa kama kigezo cha kushindwa uchaguzi hata kama umejipenyeza na sasa tuwe na special committee of inquiery kuhusu Rushwa
 
Demokrasia ina gharama yake

Uchaguzi wa viongozi wa Chadema utakua uchaguzi wa

1:Uchaguzi wa viongozi wa chama cha upinzani

2:Uchaguzi wa kuhitimisha transition of power 2015

3:Uchaguzi wa kuongoza chama tawala baada ya uchaguzi mkuu kama chama kipya ongozi katika historia ya Tanzania

Ni lazima kuwe na umakini wa hali ya juu ili kupata uongozi bora unaoweza kuendana na mahitaji hayo hapo juu

Tena safari hii inabidi Tuwe very strict katika chaguzi hizi.Rushwa itangazwe kabisa kama kigezo cha kushindwa uchaguzi hata kama umejipenyeza na sasa tuwe na special committee of inquiery kuhusu Rushwa
 
Nakubaliana na wewe ila naamini zaidi kwenye sheria, kanuni na taratibu za ucha.uzi zilizopo kwenye katiba ya chama. Imani ya mtu kwenye katiba na sera za chama ni muhimu sana. Busara isichukue nafasi ya katiba bali busara ifuate katiba.
Peoplezzzz!
 
Demokrasia ina gharama yake

Uchaguzi wa viongozi wa Chadema utakua uchaguzi wa

1:Uchaguzi wa viongozi wa chama cha upinzani

2:Uchaguzi wa kuhitimisha transition of power 2015

3:Uchaguzi wa kuongoza chama tawala baada ya uchaguzi mkuu kama chama kipya ongozi katika historia ya Tanzania

Ni lazima kuwe na umakini wa hali ya juu ili kupata uongozi bora unaoweza kuendana na mahitaji hayo hapo juu

Tena safari hii inabidi Tuwe very strict katika chaguzi hizi.Rushwa itangazwe kabisa kama kigezo cha kushindwa uchaguzi hata kama umejipenyeza na sasa tuwe na special committee of inquiery kuhusu Rushwa
 
Hiyo mifano ya madiwani waliofukuzwa Mwanza na Arusha haina mantiki yoyote kuitumia kuonyesha kwamba kuna mgawanyiko ama busara haikutumika katika kuwashughulikia, na kwamba kufukuzwa kwao kunaweza kukiyumbisha chama.

Chadema ni imara sana sasahivi Arusha kuliko wakati wowote. Na hilo halihitaji darubini kuliona. Jambo la muhimu sana kwetu kwa sasa ni kuhakikisha kwamba ccm hawapenyezi mamluki ndani ya uongozi wa Chadema iwe ni shina, tawi, kata, jimbo, wilaya ama mkoa.
 
Na pia CHADEMA inabidi ionyeshe mfano kwa kuchagua viongozi kutokana na sifa ya mtu husika na si kwa ajili mgombea anauhusiano wa kindugu na fulani ndani ya chama.

Na naamini CHADEMA ni chama sikivu hivyo basi wasishupaze shingo zao kwa kutokusikiliza malalamiko ya wanachama wao juu ya tuhuma za kuwepo undugu-nization,ukabila n.k,katika kupata nafasi mbalimbali ndani ya chama hicho.

Historia inaonyesha kuna vyama vya upinzani vilivyokuwa na umaarufu mkubwa sana ndani ya Tanzania lakini vipo wapi sasa?
 
Back
Top Bottom