Busara za Polepole

Omary Kipingu

Member
Feb 22, 2016
40
48
*NUKUU ZA KATIBU MUENEZI CCM TAIFA COMRADE HUMPHREY POLEPOLE LEO KATIKA DARASA LA ITIKADI-TEMEKE*

31/12/2016
Na:
Comrade Alexander Mhando.
Mzalendo.

"Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake na ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tushindane kwa hoja, nguvu ya hoja sio hoja ya nguvu kama fitina na kuwakashfu wengine hiyo sio utamaduni wa CCM".."Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Uanachama wako, imani yako kwa chama ,bidii na sifa yako ndio iwe kigezo cha kuwa kiongozi ndani ya chama".."Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Huu ujumbe wa mageuzi lazima uwe na mabomba mawili moja liende kwa viongozi na mmoja kwa wanachama"..
"Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao sio sisi CCM "..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

...KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI...
 
Tr
*NUKUU ZA KATIBU MUENEZI CCM TAIFA COMRADE HUMPHREY POLEPOLE LEO KATIKA DARASA LA ITIKADI-TEMEKE*

31/12/2016
Na:
Comrade Alexander Mhando.
Mzalendo.

"Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake na ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tushindane kwa hoja, nguvu ya hoja sio hoja ya nguvu kama fitina na kuwakashfu wengine hiyo sio utamaduni wa CCM".."Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Uanachama wako, imani yako kwa chama ,bidii na sifa yako ndio iwe kigezo cha kuwa kiongozi ndani ya chama".."Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Huu ujumbe wa mageuzi lazima uwe na mabomba mawili moja liende kwa viongozi na mmoja kwa wanachama"..
"Chama cha Mapinduzi ni chama cha watu kutoka kuanzishwa kwake ndio muelekeo wake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunataka mwanachama wa chama cha Mapinduzi awe kwa matendo yake ukimtazama tu unajua huyu ni mwanachama wa CCM kwa matendo na imani yake"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tunapoongeza kiwango cha kusema kweli kwa watanzania kila siku wananchi wataongeza imani kwetu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Fitina isiwe sehemu yetu wala njia ya kutumia kuwadanganya wananchi ili kupata uongozi, fitina tuwaachie wao sio sisi CCM "..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Chama chetu CCM tujitenge na Rushwa"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Hakuna ibada bora kama kuwatumikia watu"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Mtu atakayekuja kuomba kura na uongozi ndani ya chama chetu kwa pesa zake, mali zake, au umaarufu wake usio na tija kwa chama chetu tumkatae"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Tusivune utajili kwa kuwanyonya watu kwani mnuonyaji hana tofauti na mkoloni"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"WanaCCM lazima tuweze kuyachambua mambo na kuweza kuyaelezea kwa watu kwa lugha nyepesi yakueleweka"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

""Tunazungumza mageuzi , hii ni kazi ngumu, sio kazi ya mtu mmoja bali ni kazi ya sisi wanachama wote kwa pamoja"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Rushwa ni adui wa haki na haina future kwani sifa yake kubwa ni kuiba, kuharibu, kupotosha, kuumiza watu, kubomoa taifa, na kubomoa familia"..Humphrey Polepole - TEMEKE (31/12/2016)

"Kwenye mitandao ya kijamii wakitutukana tuseme ASANTE, na kuwaambia sio kosa lao"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

"Tusiwatukane watu na tusiwaite watu NYUMBU bali tuache matendo yao yaoneshe wao ni nyumbu kwani huo ndio utu"..Humphrey Polepole - TEMEKE(31/12/2016)

...KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI...
True say
 
Polepole, kuwa mwepesi kidogo kusoma alama za nyakati. CCM sio chama cha dini! Hakiko hivyo! Mwishowe utakuwa kama kumpigia mbuzi gitaa! Hatacheza kamwe!!
 
Usitegemee kitu chochote cha maana kwa mtu mnafiki!!! Hawezi kuwa na la maana huyo!! Kijana mdogo ambaye unaendeshwa na tumbo huwezi kuwa na maono ya mbali zaidi ya kufikiri kwa tumbo na kutenda kwa masaburi!!!!
 
Hiyo ndiyo kazi ya mwenezi wa chama.chama hakienezwi kwa matusi na kejeli kama zile za mtangulizi wake.Tunataka mtu kiongozi anayeonesha njia ya kufikia malengo.

Nina hakika akiendelea hivi na akipata watu wenye dhamira njema ya kueneza dhamira hii ya chama CCM kitabaki imara hata baada ya kung'olewa madarakani 2020

Nami nimwaidi my polepole akiendeleza ustaarabu huu atarajie hats Mimi nitakuwa mwanachama wake baada ya kutathmini busara kama hizi angalau kwa mwaka mmoja.
 
20c62c0b59a2fb7c7b86c0d6be313c44.jpg
Polepole unakiuka kanuni na taratibu za ccm. Uongo/rushwa/ufisadi ndio nguzo ya ccm.
 
Back
Top Bottom