Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,129
- 18,743
Kuna mambo fulani yanaweza kuwa yanakiukwa katika suala zima la ushirikiano wa Chadema na Act wazalendo kuhusu kumuunga mkono Tundu LIssu wenye kugombea uraisi.
Lakini kila mtu, pamoja na CCM wenyewe, anajua kwamba NEC wamekuwa wakifumbia macho ukiukwaji tatibu za uchaguzi katika mambo mengi sana Magufuli kama Mgombea Uraisi wa CCM amekuwa akifanya. Kwa mfano katika ziara nyingi za kampeni Magufuli amekuwa akitoa ahadi za misaada akidai yeye ni raisi, jambo ambalo NEC wanajua sio sahihi, kwa kuwa Magufuli amefanya hivyo akiwa katika misafara ya kampeni sio ziara za kiserikali. In fact hiyo ni rushwa Magufuli amekuwa akitoa.
Sasa basi, ushauri wangu kwa NEC ni kwamba, kwa hili la Chadema na ACT Wazalendo ni bora tu wakae kimya kama walivyokaa kimya kama walivyokaa kimya kwenye ahadi za misaada za Magufuli wakati wa misafara ya kampeni. NEC wakijifanya vijogoo ili kumfurahisha Magufuli na CCM yake katika hili wanaweza kuleta vurugu ambayo haijawahi kutokea hapa nchini. Kwa hiyo it is not worth it kuanza kuwaandikia barua Chadema au ACT Wazalendo. Acheni tu, siku zimebaki kidogo sana.
Kwa kiswahili cha mitaani tunasema NEC kausheni kama vile hamjaona kama mlivyofanya kwa Magufuli!
Lakini kila mtu, pamoja na CCM wenyewe, anajua kwamba NEC wamekuwa wakifumbia macho ukiukwaji tatibu za uchaguzi katika mambo mengi sana Magufuli kama Mgombea Uraisi wa CCM amekuwa akifanya. Kwa mfano katika ziara nyingi za kampeni Magufuli amekuwa akitoa ahadi za misaada akidai yeye ni raisi, jambo ambalo NEC wanajua sio sahihi, kwa kuwa Magufuli amefanya hivyo akiwa katika misafara ya kampeni sio ziara za kiserikali. In fact hiyo ni rushwa Magufuli amekuwa akitoa.
Sasa basi, ushauri wangu kwa NEC ni kwamba, kwa hili la Chadema na ACT Wazalendo ni bora tu wakae kimya kama walivyokaa kimya kama walivyokaa kimya kwenye ahadi za misaada za Magufuli wakati wa misafara ya kampeni. NEC wakijifanya vijogoo ili kumfurahisha Magufuli na CCM yake katika hili wanaweza kuleta vurugu ambayo haijawahi kutokea hapa nchini. Kwa hiyo it is not worth it kuanza kuwaandikia barua Chadema au ACT Wazalendo. Acheni tu, siku zimebaki kidogo sana.
Kwa kiswahili cha mitaani tunasema NEC kausheni kama vile hamjaona kama mlivyofanya kwa Magufuli!