mwanakidagu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 208
- 78
kila kona jimboni busanda.ni vilio vya ahadi hewa .za ccm.wanasema wanakumbuka kazi ya mh.kabuzi.wajutia kura yao. Wengi wafunguka na kuuliza wako wapi CHADEMA. huku.wanasema 2015.upinzani tu.wanekitamka chadema.enyi makamanda.mavuno ni mengi busanda.enendeni.huko.wasukuma wamefunguka.milango iko wazi.MUNGU IBARIKI TZ.MUNGU WABARIKI WANA BUSANDA.