Habari za usiku ndugu, bus la kampuni la UDA limedondokea mtaroni usiku huu maeneo ya tabata shule jirani na green light hotel, lilikuwa likitokea tabata na nahisi (sina uhakika) lilikuwa linaenda sheli kama kawaida yao kujaza tena abiria. Sina habari zaidi kwani nilikuwa mpita njia nawahi kwetu. Usiku mwema kwenu wote.