Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 418
Hood Bus servirce kutoka Iringa limegongana na Fuso eneo la mikumi na kuwaka moto. Inasemekana ajaali hiyo imesababishwa na watu wanaochoma moto kandokando ya barabara kwa lengo la kuweka mazingira safi. Wachomaji hao walisababisha wingu zito la moshi barabaran lililomfanya dereva kutoweza ona vizuri na kusababisha ajali hiyo. Basi lilipinduka na kuangukia kwenye moto hali iliyofanya liteketee , hata hivyo baadhi ya majeruhi wamepelekwa hosp ya mkoa moro. Tuwaombee wapate nafuu.