Bus gani linalotembea mwendo wa wastani kutoka Dar kwenda Kigoma?

bestmale

JF-Expert Member
Dec 6, 2015
3,068
1,795
Habari zenu wakuu,
Nataka bus linalotembea kama kinyonga from Dar to Kigoma. Msaada wenu plz.

Nashukuru
 
Sa linalotembea kama kinyonga si mtatumia wiki nzima kufika Kigoma,acha uoga panda Saratoga au Adventure.
 
Panda gari za magazeti babu! Acha uwoga kifo kinaweza kuja ukiwa usingizini
 
City boy zikimaliza adhabu zitatembea taratibu. Subiri zifunguliwe Mkuu.
 
panda saratoga lakini uhakikishe unapiga mzinga wa gongo au nyagi maana hiyo speed kama fast jet tu....kigoma moja hiyoooo.....
 
Panda BUS za kidia..kiazi kitamu..mvullah Ukiondoka DAR 12:00ASUBUHI KESHO YAKE 12:00JIONI UPO KIGOMA.
 
Mkuu Kama Hautaki Kupanda Mabasi Yanayokimbia Sana ... Ni Kheri Upande Ndege Tu ... Ndio Inamwendo Kama Kobe ...
 
Habari zenu wakuu,
Nataka bus linalotembea kama kinyonga from Dar to Kigoma. Msaada wenu plz.

Nashukuru
Umbali DAR-KGM via itigi tabora ni km.1258 Kwa mwendo unaufikiria wewe yaani 50km/hr itakuchukua masaa 25.16 kufika bila kusimama mahala popote.

Tufanye safari nzima utumie Masaa 3 unasimama watu wale chakula njiani na wachume dawa ,itakuchukua masaa 28!! Ukiondoka dar SAA 12.00asbh utafika kesho yake kigoma SAA 4 asbh kesho yake kwa Assumption kwamba Bus halitalala popote ni mwendo mdundo usiku kucha.

Magari haya yakitembea mwendo unaodhaniwa ni salama,itakuchua muda mwingi sana .bora upande ndege
 
Back
Top Bottom