kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,007
- 11,931
Kuendeleza umasikiniMaskini mnaungana wote sijui mnatafuta nin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuendeleza umasikiniMaskini mnaungana wote sijui mnatafuta nin
😄Wazee wa fitna KQ
Umaskini kwa mishahara inayozidi nchi wafadhiliKuendeleza umasikini
Mmeropoka (samahi kama nimewaudhi)...
Burundi anafanya hivi ili kutafuta ulinzi kwasababu Rwanda anamuonea sana,..
Kama unakumbuka Second Congo War (kabila) aliokolewa na SADC.
Pia kwa m23 ,Congo iliokolewa na SADC, Rwanda anafanya chokochoko kwa mwenzie ili amuweke mtutsi pale Burundi, na hata ukiangalia sababu ya Burundi kukataliwa ni 'mahusiano mabaya na Rwanda'...
Hata haya matokeo usikute yapo influenced na Kagame kama mnavyomjua alivyo master mind, anajua fika Burundi akijiunga SADC hatoweza kumgusa wala kumletea vurugu tena.......
Hua najiuliza kuna nini cha maana wananchi wa nchi wanachama wanapata? leo kuna shida kule Sudan kusini na Kaskazini ...je unaweza kuambia wananchi kua nchi yao ni wanachana wa SADC sijui AOU wakakwelewa? bora UN make wanapata vi msaada. Eti watu wlikwisha kaa madarakani miaka na kutesa wananchi wao nao wanachangia jinsi ya kuleta maendeleo kwenye nchi zingine wakati kwake amna kitu.Hizi jumuiya ni za kukaa na kunywa pombe na mademu tu hakuna cha maana
Kuna tofauti na kutowapokea; kuna faida gani unapatikana? nchi zipo kwenye vita wao kwa waoMimi bado nasikitikia kitendo cha EAC kuwapokea Rwanda na Burundi.
Maskini mnaungana wote sijui mnatafuta nin
Hizo jumuiya ni za majungu kama hiyo ya SADC wanaenda kupeana mbinu za kuiba kura ili vyama vya uhuru viendeler kutawala mileleHua najiuliza kuna nini cha maana wananchi wa nchi wanachama wanapata? leo kuna shida kule Sudan kusini na Kaskazini ...je unaweza kuambia wananchi kua nchi yao ni wanachana wa SADC sijui AOU wakakwelewa? bora UN make wanapata vi msaada. Eti watu wlikwisha kaa madarakani miaka na kutesa wananchi wao nao wanachangia jinsi ya kuleta maendeleo kwenye nchi zingine wakati kwake amna kitu.
Nafikiri kiukweli tz tumeingia kwa hisani tulizowafanyia ktk kupigania Uhuru. Pia kuvunjika kwa EAC ile ya awali kulitufanya uwe rahisi lkn siamini km kuna fursa labda kupeleka Timu ya TAIFA tu na wakubwa kila posho nyingi za vikao na safari.
Kama kunakuza uchumi basi tz tulitakiwa tuwe vizuri kushinda mwenzetu wenye JUMUIYA 1.
So Nkurunziza na Mbowe wanafanana tabia sio mkuu?Burundi afadhali wajiunge na Chadema kuliko kujiunga na magenge ya wahuni haya kama akina Kagame na huyu Nduli wa kwetu.